
Ugonjwa huo unaosababishwa na kuganda kwa damu, husababisha mshipa mkubwa ambao unasafirisha damu na hewa kwenda kwenye mapafu kuziba na kupelekea binadamu kufariki ghafla.
Goldie alifariki jana kutokana na ugonjwa huo akiwahishwa hospitali ikiwa ni muda mchache baada ya kuwasili jijini Lagos, Nigeria akitokea Los Angeles, America.
Post a Comment