MASTAA wakali wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu na Aunt Ezekiel walifunga mtaa na kuanza kukata mauno kinomanoma na kusababisha umati wa watu uwazunguke.
Mpango mzima ulitokea hivi karibuni katika arobaini ya mtoto wa dada yake Wema iliyofanyika Sinza Kwa - Remmy, jijini Dar ambapo Aunt pamoja na baadhi ya wasanii walifika kusherehekea sherehe hiyo ya kumtoa mtoto.
Awali, Wema alionekana akimtunza fedha
pamoja na mikufu ya dhahabu yenye thamani kubwa na ilipoisha sherehe ya
maulid ndipo mastaa hao waliwasha muziki na kuanza kulisakata rumba.
“Sisi tumecheza tumefurahi tu hawa waliofunga mtaa kututazama watakuwa wanataka kuona mavituzi yetu,” alisema Wema.
“Sisi tumecheza tumefurahi tu hawa waliofunga mtaa kututazama watakuwa wanataka kuona mavituzi yetu,” alisema Wema.
Post a Comment