Games

LATEST UPDATES

Monday, February 25, 2013

MCHUNGAJI AVULIWA NGUO NA KUCHAPWA VIBOKO HUKO KITETO

NI Mchungaji wa kanisas la Tanzania Assemblies of God (TAG) lililopo katika kata ya Ngusero mkoani Arusha.Avuliwa nguo nakubakizwa uchi wa mnyama kisha kupigwa viboko na jamii yake ya wafugaji kisa kawatahiri wanawe wakiume hospitali kinyume na mila za jamii yake.
 Baada ya kufanyiwa udhalilishaji huo aiomba serikale kuchukua hatua ama sivyo atanunua bunduki na kulipiza kisasi cha unyama huo.
Share This :

Post a Comment

 

Top