Games

LATEST UPDATES

Tuesday, March 22, 2016

SAKATA LA RUSHWA KAMATI ZA BUNGE ZITTO AJIUZULU



Kupitia ukurasa wake wa Facebook leo Asubuhi mbunge huyo wa Kigoma mjini Kabwe Zuberi Zitto aliandika yafuatayo kuonesha kujiuzulu kwake katika kamati anayohudumia
"Kuna tuhuma za rushwa dhidi ya Kamati mbalimbali za Bunge ikiwemo kamati ninayohudumu. Nimemwandikia Spika Kuomba Uchunguzi juu Ya tuhuma hizo na kwamba achukue hatua kali dhidi ya yeyote atakayekutwa kuhusika na vitendo vya rushwa. Nimejiuzulu Ujumbe wa Kamati ili Kutoa Nafasi Ya Uchunguzi Husika."
Share This :

Post a Comment

 

Top