Games

LATEST UPDATES

Tuesday, March 22, 2016

BREAKING NEWS: UKAWA YABEBA UMEYA JIJI LA DAR

Baada ya vuta nikuvute nyingi kuhusu kiti hiki cha umeya Jiji la Dar mpaka kufikia hatua Rais Magufuli kuingilia kati kuwataka uchaguzi ufanyike hata kama CCM itaanguka. Hatimaye umefanyika leo hii na UKAWA wamenyakua Jiji hilo.

Mgombea wa UKAWA Issaya ameshinda Umeya wa Jiji muda mfupi uliopita kwa Kura 84 dhidi ya Kura 67 za Mgombea wa CCM  Yenga Omary. Madiwani watano wa CCM wameingia mitini hawakutokea kwenye uchaguzi licha ya CCM kukimbilia mahakamani mara kwa mara kuonesha wapo siriasi na kiti hiki.
Share This :

Post a Comment

 

Top