Games

LATEST UPDATES

Saturday, July 18, 2015

Wadada wanne wakamatwa na kufungwa UCHI chini ya mti kisa.......

Kumradhi kwa picha hio
Habari kutoka NIGERIA zinasema wadada hao walikamatwa Alfajiri katika shamba la mwanakijiji mmoja jina halikupatikana mapema ambapo imeelezwa wametuhumiwa kwa kosa la wizi wa mazao shambani hapo.
Wamekamatwa na mihogo karibu nusu gunia na mazao mengine ya shamba hilo.

Share This :

Post a Comment

 

Top