Games

LATEST UPDATES

Thursday, February 21, 2013

MSHINDI WA 5,000,000 ZA DSTV APATIKANA


Tunafurahi kwamba tumepata mshindi wetu wa kwanza wa DStv Rewards, bwana Peter Amandus, ambaye ni mshindi wa Tshs 5,000,000.

Mwaka huu DStv kwa kuridhishwa na ushirikiano mkubwa inayopata kutoka kwa wateja wake imeaanda kampeni mpya iitwayo DStv Rewards. Kampeni hii itakuwa inazawadia wateja wake Shilingi za Tanzania 5,000,000 kila wiki endapo mteja atalipia malipo ya mwezi kabla akaunti yake haijakatika. Mpango huu umekuja miezi michache tu baada ya DStv kuzindua kampeni ya punguzo ya malipo ya mwezi kwa asilimia kumi (10%) kwa vifurushi vyake vyote. Hii ni kama moja ya zawadi zake kwa wateja endepo mteja atalipia  malipo ya mwezi kabla akaunti yake haijakatika.
Nitatuma picha muda si mrefu.
Kwa maelezo zaidi, tafadhali usisite kuwasiliana nami.


Share This :

Post a Comment

 

Top