Games

LATEST UPDATES

Monday, January 28, 2013

Liverpool yabanduliwa nje ya FA

 27 Januari, 2013 - Saa 18:48 GMT

Wachezaji wa Livepool wakicheza na Leeds
Tottenham imebanduliwa nje ya mashindano ya kuwania kombe la FA baada ya kulazwa magoli mawili kwa moja na Leeds United.
Luke Varney aliifungia Leeds bao lake la kwanza kabla ya Ross McCormack, kufunga la pili. Tottenham ambayo inashiriki katika ligi kuu ya Premier nayo ikapata bao lake kupitia kwa mchezaji wake Clint Dempsey.
Katika mechi nyingine Chelsea, nusura iage mashindano hayo baada ya kulemewa na Bendford.
Hata hivyo Fernando Torres aliifungia Chelsea bao lake la pili na kuiepushia aibu kubwa.

Wachezaji wa Leeds
Timu hizo mbili zilitoka sare ya kufungana mabgoli mawili kwa mawili.
Liverpool vile vile, imeondolewa kwenye michuano hiyo ya FA, baada ya kunyukwa magoli 3-2 na Oldham, ambayo inashiriki katika ligi daraja ya kwanza.
Timu zingine za ligi kuu ambazo zimefuzu kwa raundi ijayo ni pamoja na Manchester United, Everton, Arsenal, Wigan, reading na Manchester City.
Norwich, QPR na stoke city zinaungana na timu ambazo zimefunganya virago vyao katika michuano hiyo ya FA.
Share This :

Post a Comment

 

Top