Aliyejaribu kutunga: Babi D'e Conscious
Mob: +25517 636358
Anaishi: kijijini Moshi.

....................................................
Ukikutana nae lazima utashtuka na kama akikupita lazima utageuza kichwa nyuma kumtazama kwa mara ya pili, Harufu ya marashi ya gharama aliyojipulizia ndicho kitu pekee itachokukufanya utambue kuwa anatoka katika familia inayojiweza, Kweli mungu akiamua kukupa anakupa kila kitu na kama akiamua kukupunja basi atakupunja pia. Mchanganyiko wa rangi toka kwa Mama yake mwenye asili ya kigiriki na baba yake Mdigo wa Pangani Tanga ndio uliopamba ngozi yake kuonekana yenye hadhi zaidi. Macho yake ya gololi na vishimo katika mashavu yake pindi anapotabasamu ndio sukari ya kila jicho lenye uhitaji pindi linapomtazama na kukutana nae akitabasamu si Mwingine ni kijana wa kidigo Moudy.
Akiwa mwenye huzuni kakaa kwenye kiambaza cha nyumba yao akitazama usawa wa geti kubwa la nyumba yao, Moudy ama Moudylove kama alivyopenda kujiita alikua akiangalia geti huku akiangalia saa kila mara kama anasubiri kitu muhimu kitokee mbele ya macho yake. Ghafla anasikia sauti ya Geti likisukumwa anashtuka na kuamka haraka kulifuata geti.
…………………………………………………………………………
Meli ya Mv Sulivia ilikua ikitia nanga katika bandari ya Zanzibar Unguja baada ya safari ndefu kutoka Pemba, Abiria waunguja wanatoa mabegi yao kutoka sehemu za kuhifadhia mabegi na kuanza kushuka katika Meli hiyo kuukuu. Makuli katika bandari ile wanabeba mizigo kuingiza katika sehemu ya nyuma ya Meli ile iliyopangwa mapipa mengi yenye maandishi SOS. Abiria wengine wanapanda kwenye ile meli.
Babuuu sogea hapo niweke mzigo” kuli alikua akimwambia mzee Mwinyi aliyekuwa amekaa pembeni ya mapipa na Mjukuu wake huku kaegemezea Kichwa katika yale Mapipa. Mzee Mwinyi anasogea upande wa pili Yule kuli anaweka gunia kubwa pembeni ya Mjukuu wa Mzee mwinyi.
Triii triii tii Sauti ya mlio wa simu inasikika Mzee Mwinyi anaingiza mkono kwenye kanzu yake kuu kuu na kutoa simu kasha anapokea na kusikiliza.” Eeh ndiyo tuko unguja hapa atii, Eeh we ondoa shaka bwana mie nikifika hpo mambo yote yetakuwa sawa mwambie kijana atapona tu. Ok sawaaaa” anatoa simu sikioni kasha anairudisha kwenye mfuko wa kanzu Meli inaanza kuondoka.
…………………………………………………………………………
Moudy anafungua geti Mzee Mahmoud Mdigo baba yake na Moudy anaingia Moudy anampokea na maswali, Baba huyo dokta yuko wapi? Mzee Mahmoud anamuangalia Moudy kwa huruma kasha anampa ishara amfuate wanaingia ndani na kukaa kwenye kochi. “Mwanangu nafahamu fika hali uliyokuwa nayo inakutesa sana nimejitahidi kwa kila njia ili uweze kuwa sawa na hapa karata yangu ya mwisho iko kwa Mzee Mwinyi ambaye nimeongea nae muda si mrefu ndo wanatoka unguja kuja hapa kukutibu amini utapona mwanangu” Moudy anafuta machozi “Baba mimi ni kijana sasa nateswa na hali hii na kila sifa ya kuitwa mwanaume ninayo ni hiyo moja tu ndiyo haiajakamilisha uanaume wangu baba please help me” Mzee Mahamoud akimpigapiga Moud mgongoni Usijali mwanangu. Moudy anainuka na kutoka nje ya geti anabamiza geti kwa nguvu.
………………………………………………………………………………
Ndani ya chumba namba 509 katika hoteli ya Blue star kwenye kitanda chenye ukubwa wa futi nane kwa nane alikua amelala kwa tumbo msichana mrembo akiwa amevaa kanga moja tu huku huku vilima vikubwa viwili vikiwa vimeinua kanga aliyovaa huku akiwa bize akichati katika mtandao wa facebook kwa kutumia laptop yake ndogo . Huyu ni Trina Mpenzi wake na Moudlove na siku hiyo ilikua ni siku ambayo waliahidiana kupeana penzi zito baada ya kuwekeana ahadi ya muda mrefu kutokufanya mapenzi mpaka wamalize chuo na siku imewadia. Wimbo mlaini wa westlife uliokuwa ukitoka katika simu ulimshtua Trina na kugeuka kwa haraka ambayo ilisababisha kanga aliyovaa kufunuka na kuonekana mapaja yake meupe malaini huku mkanda wa kufuli la rangi ya pink watoto wa kileo huita G string kuonekana, Trina hakujali kwa kuwa yuko Mwenyewe pale chumbani aliiachia kanga iuache mwili wake wazi akasogelea meza na kuchukua simu alipoitazama akatabsamu na kuponye
za kitufe cha kupokelea na kupeleka sikioni. Ndiyo mpenzi wangu” Sauti laini ya Trna ilijibu Simu ile, “Chumba namba 509, Ok sawa” Trina akakata simu kwa furaha akaruka kitandani huku akichanua miguu yake na kufanya utajiri wa wasichana wa kileo kuonekana kwa upande mmoja.
…………………………………………………………………………………
Meli ya Mv Sulvia iliendelea kukata mawimbi huku ikionekana kuelemewa kwa mizigo na abiria, Nahodha wa meli ile bwana Twalib alishtushwa na mwendo mdogo wa meli ndipo alipotazama engine metter ya meli na kugundua injini moja ilikua imezimika. “Dah ile injini ndio imemalizika” Twalib alimwambia Nahodha mwenzake aitwaye Masoud kwa unyonge. “Sasa hii injini moja itatufikisha kweli” Kabla Twalib hajamjibu Masoud ghafla injini iliyosalia nayo ikazima. Mvua kubwa ikaanza kunyesha ikiambatana na upepo mkali Ile meli ikaanza kusukumwa na mawimbi amakubwa Abiria wakaanza kupiga kelele za woga.
Moudlove alisukuma mlango namba 509 macho yake yakatua kitandani na kukutana na msichana mrembo Trina. Trina kwa furaha akamrukia Moudlove na kuanguka nae kitandani huu akimbusu mfululizo, subiri kwanza Moudy alimwambia Trina huku akimsukuma. Aah baby mwenzio natakaaa Trina aliongea kwa sauti iliyolemewa na Mahaba mazito. Moudy akasimama na kwenda kukaa katika kochi lililo pembeni ya kile kitanda, Akaegamiza kichwa chake juu ya viganja vya mikono huku machozi yakimtoka. Trina akamfuata huu kalegeza macho kimahaba anamvuta Moudy, Aah njoo unipe Mpenzi” Moudy anasimama na kumuangalia Trina kwa huruma “Trina siwezi mpenzi wangu” Trina kwa mshao “Huwezii? Huwezi nini?” Moudy kwa unyonge “Sikiliza mpenzi wangu Trina mimi unavyoniona hapa Jogoo wangu Hapandi Mtungi na leo nilitegemea ndio naletewa dawa ila shida huyo dokta anatokea Pemba mpaka sasa hajafika ndio maana nilichelewa kufika mpenzi” Trina kwa Hasira “Eeh eti nini yaani Moudy muda wote ulionipotezea kumbe wewe jongoo tu? Yaani wewe ni joka la kibisa huumi wala huna sumu? Sasa sikia leo lazima unishushe pepo langu la ngono haiwezekani kama jogoo hapandi mtungi leo sasa atapanda pipa?” Trina anamshika Moudy kwa nguvu na kumsukumia Kitandani. Moudy kwa upole anambembeleza Trina, Sikiliza Trina leo lazima nitimize ahadi nipe muda huyo dokta afike tatizo langu litakwisha tu” Trina anamuangalia Moudy kwa dharau “mmh uzuri wa bure kumbe sanamu la duka la nguo? Sasa sikia hutoki hapa ndani na hiyo dawa uletewe hapahapa na ukishindwa nitekenya leo basi nitakuitia watu wakutekenye wewe?” Trina anaongea kwa jazba kasha anainuka na kufunga mlango kwa funguo funguo anaiweka kwenye pochi yake.
…………………………………………………………………………………
Story ndo kwanzaaa imeanza…! Meli iliyombeba Mzee Mwinyi na Mjukuu wake ambao wanakuja Dar es salaam kumletea Moudlove dawa ili jogoo wake apande mtungi ndo imepata hitilafu, Je Moudlove ataweza kutoka pale chumbani? Na Je Mzee Mwinyi atafika salama Embu dondosha like za kutosha hapa ili tuendelee..!
NB: Mimi si mtunzi wa hadithi hii nimejaribu tu sitaki lawama..!
Aliyejaribu kutunga: Babi D’e Conscious
Simu: +255 717 636358
Anapoishi: Moshi kijijini
Trina anamuangalia Moudy kwa dharau “mmh uzuri wa bure kumbe sanamu la duka la nguo? Sasa sikia hutoki hapa ndani na hiyo dawa uletewe hapahapa na ukishindwa nitekenya leo basi nitakuitia watu wakutekenye wewe?” Trina anaongea kwa jazba kasha anainuka na kufunga mlango kwa funguo funguo anaiweka kwenye pochi yake…….
Sasa endelea………
Kelele za abiri ndizo ziliwachanganya manahodha wa meli hiyo na kushindwa kuelewa watafanya nini?. Mimi nafikiri ni lazima tufanye kitu alisema alisema Twalib huku akiamka kutoka nje.Masoud alimfuata nyuma huku akionekana kukosa cha kufanya. Mawimbi makubwa walianza ipiga meli kelele ya woga aliyopiga Mjukuu wa Mzee Mwinyi ilimshtua mzee Mwinyi toka usingizini ile kufumbua Macho mara akashuhudia pipa kubwa lilkishuka kumuelekea mjukuu wake, Mzee Mwinyi aliamka kwa kasi na kumzuia mjukuu wake kwa kumlalia lile pipa likashuka juu ya mgongo wake akapiga yowe kubwa la uchungu kiza cha milele kikatawala mboni za macho yake, Kimya milele.
………………………………………………………………….
Ukimya uliotawala katika kijiwe cha kahawa maarufu Kariakoo kama Radio Mbao ulimshangaza Mzee Mahmoud Mdigo ndipo alipovutiwa na kusogea baada ya kuona kundi la wazee wakisikiliza kitu kwa makini kutikati yao, Asalaam aleykum? Alitoa salamu lakini hakuna aliyemjibu kutokana na masikio yao kuwa makini na sauti kutoka katika redio ndogo ya kianalojia iliyokuwa ikitoa sauti ya kukoroma kama imeishiwa na betri. Mtumee watu miambili wamekufa mpaka sasa? Aliropoka Abdul Mzaramo maneno hayo yakamvutia zaidi Mzee Mahmoud Mdigo kutaka kujua nini chanzo cha maneno hayo na kujikuta akiuliza Kumetokea nini jamani? Abdul Mzaramo alimjibu kwa masikitiko. Meli ya Mv Suliviana imezama ilikua ikitokea pemba kuja Dar na imezama kilometa chache kufika bandarini. Mzee daudi wawi akadakia Imezamia hapo msasani, Mzee Mahmoud Mdigo kwa Taharuki akaondoka huku akiwa anatoa simu yake na kupiga namba Fulani simu yake haikutoa majibu ya kumridhisha akaiweka mfukoni na kuvuka barabara.kuelekea njia inayoelekea Posta.
…………………………………………………………….
Mlio wa simu ulimshtua Moudlove kutoka katika lindi la mawazo na kujinyanyua akatoa simu yake mfukoni na kuiangalia akaona jina Dad akatabasamu na kumuangalia Mpenzi wake Trina na kumwambia Jiandae na pambano baada ya dakika chache zijazo ndo utajua jogoo asiyepanda mtungi atapandaje sasa n nilivyo na usongo nitakutafuna mpaka mifupa kwa mbwembwe anapokea simu akichanganya na maneno ya kizungu. Yes Dad…. Whaaat? Moudlove anadondoka chini kama gunia la viazi lililoachiwa toka kwenye gari mpaka chini. Trina akaamka haraka na kuanza kumpepea Moudlove alipoona hkuna matarajio ya kuamka akakimbilia simu iliyo pale chumbani na kupiga mapokezi akiomba msaada. Zikasikika hatua za mtu akija mlango ukagongwa kwa haraka Trina akatoa funguo katika pochi yake na kufungua mlango, Akaingia kijana mtanashati na kumtazama Trina kwa mshangao huku akitoa macho ya tamaaa. Vipi mbona unanishangaa? Trina alimuuliza Yule muhudumu, ah! samahani hujavaa nguo!, Trina kwa woga kama kazinduliwa usingizini akakimbilia kanga iliyo pale kitandani na kujifunika huku akimuangalia Yule muhudumu kwa aibu. Yule muhudumu akamsogelea Moudlove na kumgusa mapigo ya Moyo na kumuangalia Trina kwa wasiwasi Mh dada yangu huyu mwenzako ameshakufa.., Trina akapigwa na butwaa kutokana na yale maneno aliyotoa Yule muhudumu Sasa kaka yangu nitafanyaje? Kwa kweli sijui hichi kifo cha huyu jamaa kitakugharimu kama Yule dada wa Filamu za kibongo, Yule muhudumu alijibu huku akitaka kutoka nje mara Trina akamvuta ndani, Kaka yangu nisaidiee Ghafla kanga ikadondoka chuchu zilizosimama zikachomoza kama jua la saa nne katika mboni za macho ya Yule muudumu na kujikuta macho yake yametulia juu kifua cha binti mrembo Trina, Muhudumu akafunga ule mlango kwa funguo na kumsogelea Trina kwa Tamaa ya ngono. Sikia nitakusaidia ila ni lazima unionjeshe? Yule muhudumu alimjibu huku akitetemeka, Trina alijikuta akitingisha kichwa kuashiria hajaafiki. Sawa kama hutaki basi jela itakua inakuita… Trina alijikuta anampokea Yule muhudumu na kumruhusu kuanza na zile embe ndogo changa pale kifuani na kujikuta akilalamika kwa sauti ya Mahaba tayari Jogoo wa Muhudumu kapanda mtungi ambao Moudlove alishindwa upanda kwa masaa machache yaliyopita.
………………………………………………………………………………
Mtu ajinyonga kwa Mkanda ndani ya hoteli ya Blue star, Sharobaro ajitundika hotelini, Kijana ajimaliza mwenyewe hotelini , Hivyo ni baadhi ya vichwa vya habari ya magazeti asubuhi ni baada ya Mwili wa Moudlove kukutwa ukiwa umetundikewa kwenye feni kwa kutumia mkanda wake. Hiyo ndiyo ilikua mwisho wa filamu ya maisha ya moudlove katika Ulimwengu huu ambayo ilikamilishwa mbele ya mpenzi wake Trina.
Katika Hospitali ya Rufaa ya Muhimbili watu walikuwa ni wengi huku wauguzi wakisaidiana na wasamaria wema kuwaingiza wagonjwa huku wakiwaandikia namba, Vitanda vilikua vimejaa na wengine kulazwa chini. Maiti zilikua zikipitishwa kwa mafungu kuelekea katika chumba cha kuhifadhia maiti, Kila mmoja katika hospitali ile alionekana ni mwenye huzuni huku vilio vikisikika kila kona ya hospitali hiyo kutoka kwa ndugu na jamaa za waliopatwa na ajali hiyo. Huyo mpelekeni kule ICU, ilikua ni sauti ya dokta akitoa maelekezo kwa manesi wampeleke chumba cha wagonjwa mahututi mgonjwa mmoja aliyeonekana kapoteza fahamu huku akiwa ameumia sana maeneo ya kichwani hasa sehemu ya Paji la uso wake. Huyo alikuwa ni Jorome mjukuu wa Mzee Mwinyi aliyekuwa ameongozana nae kuja Dar kumletea Moudlove dawa.
Magari yalikuwa yakiingia pale hospitali yalikuwa mengi sana mpaka ikafikia magari kuzuwa barabarani na makundi ya watu kutembea kwa miguu kuingia hospitali ya Muhimbili. Ajali ile ya Meli ya Mv Sulivia ilikuwa kubwa zaidi ya ajali zote za vyombo vya usafiri wa majini. Rais wa nchi akatoa siku Tano za Maombolezo kwa msiba mkubwa kwa Taifa.
Nesi mfunikeni huyu mgonjwa ameshakufa, Dokta Lyimo alikuwa akiwaambia manesi wafunike mwili wa Jorome huku Dokta akiwa anatoka nje, Manesi walifunika mwili wa jorome na kuanza kusukuma Kitanda cha matairi kumtoa nje ya ile wodi Ghafla wakasikia Mtu kapiga chafya kwa mshtuko nesi akafunua shuka na kumkuta Jorome akiwa amefumbua macho. Doktaa doktaaa! Nesi aliita huku akimkimbilia dokta Lyimo. Kunashida gani? Dokta Lyimo aligeuka na kuuliza. Yule mgonjwa hajafa ni mzima, Dokta Lyimo alitoka akikimbia mpaka kule ICU na kumvalisha Jorome mirija ya oksijeni.
……………………………………………………………………………
Baada ya mwezi mmoja Jorome alipona kabisa na kuruhusiwa kutoka hospitali huku serikali ikiwa imewalipia wagonjwa wote walioathiriwa na ile ajali gharama zote za matibabu. Jorome alijikuta yupo katikati ya jiji la Dar akishangaa urefu wa magorofa na wingi wa magari tofauti kabisa na mazingira aliyokulia ya huko pemba. Taratibu akajisogeza mpaka kwenye maeneo ya kupumzikia yaliyopo Mnazi mmoja na kuketi huku akifikiri nini atakachofanya ili kimuingizie pesa na apate na sehemu ya kulala katika jiji hilo la wajanja aka Bongo.
Kuruta muokota makopo ya maji maarufu jijini Dar alikuwa katika kazi yake kabeba mfuko mkubwa huku akiokota kila kopo na kuweka katika mfuko wake uliokuwa na rangi nyeusi kutokana na uchafu. Anafika karibu na alipokaa Jorome nakuweka mfuko wake pembeni kisha anatoa gazeti limefungwafungwa anafungua nakutoa maandazi anakula huku akinywa na maji. Jorome anamuangalia kuruta kisha anajisogeza karibu yake na kumuomba maandazi, kuruta anamshangaa Jorome alivyo na sura mbaya iliyoshonwa shonwa, Eh wewe ni nani? Kuruta alijikuta akimuuliza Jorome kwa mshangao, Miye naitwa Jorome miye mgeni hapa Dar es salaam, Jorome alijibu kwa lafudhi yake ya kipemba. Kuruta alimpa Jorome andazi nay ale maji yaliyobakia huku akimuangalia anavyokula kwa kasi. Huo ndio ukawa m wanzo wa urafiki wa Jorome na Kuruta na ndio mwanzo wa Jorome kuanza kazi ya kulizunguka jiji zima kwa miguu akiokota Makopo ya maji.
……………………………………………………………………
Muite Jorome sura mbaya au gari la Taka kama alivyokuwa akitambulika na wakazi wa jiji la Dar kazi yake ni kupita nyumba hadi nyumba na kubeba taka kisha kuzipeleka dampo kwa ujira wa shilingi mia mbili kwa kila mfuko wa Taka aliobeba katika nyumba. Akiishi katika chumba kimoja cha udongo katika nyumba za mzee mswahili huko Machimbo Yombo vituka anayolipia kwa kodi ya shilingi elfu sita kwa mwezi. Hakuna asiyemjua gari la taka ndani ya jiji la Dar. Ilikuwa ni jumamosi muda wa saa tisa na nusu Jorome alikuwa katika nyumba ya Mary stela mwanamke mwenye mvuto wa kipekee na ni mke wa kanali wa jeshi la wananchi na anayeishi katika nyumba iliyo katika fukwe wa bahari ya hindi eneo la kunduchi. Jorome alikuwa akizibua chemba ya choo iliyokuwa imeziba. Mara mvua kubwa inaanza kunyesha jorome ananyeshewa lakini hajali anaendelea kufanya kazi yake mpaka muda wa saa kumi na mbili kamili za jioni Jorome anapomaliza kazi yake mvua ilikua haijakatika, Mary stela alimuangalia Jorome kwa huruma akamwambia aingie ndani aoge kisha asubiri mvua ikatike. Jorome akaingia ndani Mary stela akampa Taulo jeupe na kumwambia avue nguo hapo sebuleni kisha avae taulo akaoge huku yeye akiingia katika moja ya chumba ya ile nyumba. Chorome akavua na kuingia bafuni kisha akaoga alipotoka akamkuta Mary stela kashika nguo kaka pale sebuleni. Nywele zilizoanzia kifuani mwa Jorome na kushuka mpaka katika tumbo na kuzama katika taulo kuelekea maeneo ya kitovu cha Jorome zilimshtua Mary stela akajikuta damu ikimuenda mbio na kumsogelea Jorome huku akihema juu juu. Njoo huku uvae nguo anamshika mkono na kumvuta kwenye moja ya chumba kingine katika ile nyumba tayari pepo wa ngono alikuwa amekwisha panda katika ubongo wa Mary stela na kukaa katika mfumo wa akili wakati huo alikuwa akiwaza ngono tu. Jorome kwa hofu akamfuata tajiri yake Yule wakaingia ndani akakaribishwa na kitanda kikubwa cha futi sita kwa sita. Mary stela akafungaa mlango kisha akavu nguo nakubakiwa na chupi nyeupe iliyo kama chandarua inayoonyesha kila kitu chake katika mwili wake kilichopaswa kufichwa na chupi ile. Hapana boss nipe nguo nivae miye, Alisema Jorome huku akirudi nyuma. Sikia Jorome mpenzi nitakupa chochote mwenzio nina muda mrefu tokea mume wangu aende kwenye semina sijawahi, Mary stela anavuta taulo alilovaa jorome linaanguka macho yake yananakutana na Pingili ya muwa Bungala ukiwa umesimama vyema. Sikiliza subiri kwanza Jorome anamjibu Mary stela halafu anaokota taulo na kujifunika anakumbuka maneno ya babu yake mzee Mwinyi aliyowahi mwambia “Mjukuu wangu kila kiungo cha mwanamke kina thamani katika mapenzi kabla ya chochote hakikisha unamuamsha kila kiungo kiwe tayari kwa kupokea Mahaba yako ili pindi utakapoachana nacho kila kiungo kikikumbuke” Jorome akatabasamu sura yake ikazidi kuwa mbaya akamshika mary stela na kulmaza kitandani akaanza kucheza na kidole cha mwisho cha mguu wa Mary stela na kuhamia katika unyayo kelele za mahaba toka kwa Mary stela zikaanza kusikika, Jorome akazidisha ufundi kwa kumparua kwa ukucha wake wa kidole chake cha mwisho cha mkono katika mkunjo wa mguu wa kushoto huku ncha ya ulimi wake ikitembea katika mbavu za mary Stela hapo kelele ikazidi kutoka kwa Mary stela ghafla wakasikia sauti ya mlango ukigongwa kwa nguvu wakakurupuka kama huku Jorome akitetemeka Mary stela anachungulia nje kupitia dirishani anaona gari ya mumewe imepaki.
……………………………………………………………….
Haya sasa utamu ndo unanoga, Je ni nani anagonga? Nini hatma ya Jorome ndani ya nyumba ya kanali wa jeshi….?
Dondosha like za kutosha na coment zako ili tuendelee..!
Ila kumbuka mimi si mtunzi wa hadithi, hii nimejaribu tu sitaki lawama..!SEHEMU YA 7
Aliyejaribu kuandika: Babi D’e Conscious
Mob: +255 717 636358
Anapoishi. Moshi kijijini
Ilipoishia…………………
Mguu wa Jorome uliomgusa ukamuhamasisha kuhama upande wake na kuhamia upande wa Jorome. Ulimi wa saida ukajipenyeza katika sikio la Jorome na kumfanya Jorome ashtuke. “We saida nini tena” Jorome aliuliza kwa hamaki. Saida akapenyeza mkono na kushika bakora ya Jorome. “Ooh Jorome yako kubwa, Nene na inanitosha naomba unipe mwenzio nimezidiwa” Jorome akimtoa saida mkono. “Una kondomu” Jorome aliuliza. Ayaaah nimesahau Pochi yangu kwenye Tax na ndio ina kondomu” Saida alijibu huku akimvuta Jorome na kuanza kuchezea nywele za kifuani mwa Jorome. Jorome akaanza kuhema haraka haraka. “Saida kondomu?” Saida akajibu kwa sauti ya kutoka puani. “Tufanye hivyo hivyoo”
Sasa endelea………………….
Hapana hiyo itakua ngumu kwangu” Jorome akajitoa pale kitandani na kuelekea mlangoni. Sasa unaenda wapi?” Saida alimuuliza Jorome huku kalegeza macho. “Nisubiri nakuja sasa hivi ngoja nikachukue ant virus mara” Jorome akafungua mlango na kutokomea nje huku mvua ikiendelea kunyesha hakujali matone makubwa ya mvua yaliyokuwa yakishuka katika mwili wake kiwiliwili chake kikazama ndani ya chumba chake na kutoka kuku akikimbia kurudi nyumbani kwa Saida. “Unapenda ule tunda gani Ndizi, Strewbery, au nikupe chocolate?” Jorome alimuuliza “Saida. Nataka ndiiizi baadae utanipa na chocolate” Saida alimjibu Jorome kwa sauti ya kuzidiwa na mihemko ya ngono. Jorome akavua nguo na kupanda kitandani huku kichwani mwake akifikiri Jinsi gani anaweza kumridhisha mwanamke aliyezoea kufanya ngono mara kwa mara. “Ukitaka kumla samaki anayeliwa na kila mtu na usikie ladha ni lazima uhakikishe unamuandaa vyema na kumuwekea viungo vya kutosha” Jorome akatabasamu baada ya kukumbuka kauli ya Babu yake kipindi akiwa hai. Hewa kutoka katika matundu ya pua ya Jorome ilianza kupenya katika viambaza vya masikio ya Saida na vidole vya miguu ya Jorome vikitalii katika mikunjo ya miguu ya saida Mikono migumu ya Jorome ilikuwa ikipapasa maziwa makubwa ya Saida na kusababisha saida aanze kupiga kelele zilizozidi sauti ya paa za nyumba zilizokuwa zikilalamika kwa kupigwa na matone makubwa ya mvua. Mwaj jirani yake na Saida alishtuka toka usingizini na kutega sikio huku, Kelele za Saida zilimvutia na kuamka akiwa uchi bila nguo akajikuta anatoka nje akinyata. Shetani wa umbea alimzidi nguvu Mwaj bila kujali hana nguo giza totoro ndilo lilimpa moyo akujikuta kaufikia Mlango wa Saida jicho likiwa katika Tundu la funguo moja kwa moja Jicho likatua juu ya kitanda. Akifungua jicho lake mpaka mwisho bila kuamini anachokiona ni jongoo wa Jorome akipanda mnazi taratiibu huku Saida akipiga kelele za kuomba asamehewe. Mwanga mkali wa tochi ulimshtua Saida Mwaj kuangalia nyuma watu zaidi ya Tisa wamevaa makoti. “We ni nani?” Sauti kavu ya Mjumbe ilipenya masikioni Mwa Mwaj.
……………………………………………………
Ndana jiji Basel moja ya jiji kubwa nchini Uswis lenye wakazi takribani 164,488. Ni msimu wa baridi na barafu zilizozunguka katika maeneo ya jiji hilo. Wafanyakazi wa serikali ya nchi hiyo na makampuni binafsi waliokuwa na mkataba wa kufanya kazi ya kupunguza barafu zilizozunguka katika makazi ya watu. Makoti makubwa ya sufi yalikuwa yameziba miili yao mikononi wamevaa gloves na buti kubwa miguuni. Pembezoni mwa jiji la Basel katika nyumba ya kifahari wafanyakazi zaidi ya 50 walikuwa wakifanya kazi ya kutoa barafu katika eneo la nyumba hiyo. Lizbeth Scotch bibi wa miaka 61 na ni Mwanamke anayeshika namba 11 kwa utajiri duniani, Akiwa anamiliki kampuni kubwa ya kutengeneza saa ghali sana duniani aina ya Swisswatch na Rockettime zinazotengenezwa katika kiwanda chake cha World Time kilichopo ndani ya jiji la Geneva Uswis. Akiwa amekaa katika sebule yake kubwa yenye hadhi ya hali ya juu kiyoyozi cha joto kikiwa kinapunguza makali ya baridi na whisk aina ya John Walker Blue label ikiwa katika glass mkononi. Mpambe wa bibi Lizbeth aitwaye Serena Mackhomn alikua busy akiangalia jarida maarufu nchini Marekani liitwalo PLAY BOY macho yake yanaganda katika picha kubwa ukurasa wa katikati ya mwanaume wa kiafrika akiwa kifua wazi. Lilikuwa ni tangazo la sabuni ya kuogea iitwayo HONEY inayotengenezwa na kiwanda cha My Image cha Mwanamke mjasiria mali aishiye ukanda wa Afrika Mashariki aitwae Imelda Kiarifa. “Covanta loumb sesil mubaaa” {Tazama mwanaume wa kiafrika alivyo wamoto} Serena alimwambia Bibi Lizbeth kwa lugha ya ki Hatuk lugha inayotumiwa na kabila la wa Tobiza wanaoishi kandokando ya bahari nyekundu katika msitu wa Savanta, Huku akimuonyesha ile picha. Bibi lizbeth akavaa miwani yake haraka akatazama ile picha kwa hamaki glass yenye kinywaji ikadondoka chini na kupasuka. “Ooh sambad sesil la matanta” {Mama yangu sijawahi kuona Muafrika mwenye mvuto kama huyu} Bibi lizbeth akachukua lile gazeti na kuangalia ile picha kwa makini huku akisoma maelezo ya lile tangazo. “East Africa?” Alijikuta akishangaa na kuweka gazeti pembeni akachukua laptop aina ya Mac iliyo mezani na kufuiwasha akaandika neno East Africa kwenye Google akakutana na nchi tatu, Tanzania, Kenya, Uganda akamuangalia Serena kwa tabasamu. “Lanta dezo puton somedre pranto Afrix” {Inabidi tusafiri kwenda Afrika ya mashariki haraka} Bibi Lizbeth alimwambia Serena. “Tonto dansh tou maaa” {Usiwe na haraka hivyo tulia} Serena alimjibu Bibi Lizbeth huku akimfuata pale alipo. “dondiado xmpau norento de Image” {inabidi kujua kuhusu hii kampuni ya My Image kabla ya kwenda} Bibi Lizbeth akatikisa kichwa kukubali wazo la Serena. Serena akasogelea ile laptop na kuandika My image co. ltd East Africa zikatokea kampuni mbili moja ina maelezo tofauti na yale waliyoona kwenye lile jarida ya pili ikafungua lile tangazo lililo kwenye lile jarida Bibi Lizbeth akatabasamu. Serena akiwa busy anasoma maelezo “Detoit Tanzania” {Hiyo nchi inaitwa Tanzania} Bibi lizbeth akatikisa kichwa kukubali. “Drenot covinel sobe sobin Giant” {Inabidi Umwambie Giant Afuatilie haraka Twende huko siwezi kusubiri}
………………………………………………
Akiwa na miaka 61 mpaka sasa Bibi Lizbeth alikuwa keshatembea na wanaume wengi sana duniani, Hakuwa na mume sababu anawachukia sana wanaume. Pindi anapokuwa na hisia za kufanya ngono anachagua mwanaume wa kulala nae kwa Gharama zozote na baada ya kulala nae hutumia dawa aina ya Trixomic ambayo huchanganywa kwenye maji na baada ya kulala na mwanaume humwambia akaoge baada ya kuoga maji kwa maji yaliyochanganywa na dawa ya Trixomic mwanaume hufa baada ya masaa 24 tokea alipolala nae. Heshima aliyonayo duniani hakutaka ipotee mpaka atakapokufa. Pepo la ngono linalomtesa kwa miaka mingi ndilo lililomsababisha aue wanaume wengi wasio na hatia waliolala nae kwa tama za fedha kutoka kwake. Serena Mackhom na Giant Drezt ndio wapambe wake wakaribu wanaojua siri inayoendelea kuhusu Bibi Lizbet. Serena akiwa kuwadi namba moja wa bibi Lizbeth na Giant akiwa mkamilisha mipango yote na kuhakikisha boss wake anataka anachotaka. Lugha ya ki Hatuk ndiyo lugha wanayotumia kuwasiliana ili watu wengine wasijue nini kinachozungumzwa. Sasa Bibi Lizbeth shetani wake wa ngono kamtuma asafiri mpaka Tanzania kumtafuta kijana aliyemuona katika tangazo la Sabuni ya Honey inayotengenezwa na Kampuni ya My Image iliyoko Tanzania.
……………………………………………………
Ukubwa wa macho yake na Upana wa kifua chake ulimfanya avutie sana tokea akiwa kidato cha pili Mawenzi secondary school Moshi, Umbo lake lililojengeka kimichezo na weusi wa pepsi ndio uliomfanya Anold kijana wa Kinyakyusa aishiye Moshi kila mara awaze kukanyaga ndani ya jiji la Dar es salaam na kufany kazi ya Matangazo ya bidhaa mbalimbali. “Unafaa sana kuwa Model” Kauli ya mwalimu wake wa Michezo Mr. Choppa ilikuwa ikijirudia mara kwa mara kichwani kwake ila alikatishwa tama na ugonjwa wa pumu anaougua tokea akiwa mtoto. Japo anavuiwa sana na Kazi ya matangazo pia ni mpenzi na shabiki namba moja wa chama cha siasa cha NC {Needed for Change}. Ni miaka miwili sasa tokea aingie ndani ya Bongo Anold amesimama mbele ya kamera katika studio ya kampuni kubwa ya Matangazo ya biashara iliyoko Posta jijini Dar es Salaam iitwayo Dollwood akiwa anapigwa picha za Tangazo la pili la Kampuni ya mtandao wa Simu za mkononi Tanzania Tigo. “Dah Anold hili tangazo utauza zaidi ya lile la sabuni ya Honey” Mpiga picha maarufu Simon Urio alikuwa akimwambia Anold baada ya kumpiga picha. “Vipi tayari nataka kwenda kwenye Maandamano uwana wa jangwani nisije nikachelewa” Anold alimuuliza Simon. “Maandamano ya nini tena?” Denis mtaalamu wa Taa alimuuliza Anold. “Ah we shangaa tu unatakiwa ujitoe tuikomboe nchi mikononi mwa mafisadi wachache leo chama cha NC kinafanya maandamano kuwashinikiza mawaziri wapungu gharama za Matibabu kwa wananchi” Denis akatabasamu. “Poa we kabadili nguo uende kama kuna chochote tutawasiliana” Marosha Mkurugenzi wa Kampuni ile alimwambia Anold.
…………………………………………..
Katika ofisi za kampuni ya My Image wanawake wawili wa kizungu na mwanaume mmoja walikuwa wamekaa katika viti wakimuangalia mwanamke mmoja Raia wa Kenya aishie nchini Tanzania Si mwingine ni Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya My Image Bi. Imelda Kiarifa. My name is Giant Drezt, Iam Serena Mackhamn, iam Lizbeth scotch. Wale wageni wa kizungu walijitambulisha kwa Imelda. “My name is Imelda Kiarifa owner of this Company.” {Jina langu ni Imelda kiarifa ni Mmiliki wa hii kampuni” Imelda alijitambulisha. “Oh great, Sorry do you know World Time company?” {Oh vizuri, Je unajua kampuni inaitwa World Time?} Bi Lizbeth alimuuliza Imelda. Imelda akionyesha saa aina ya rockettime aliyovaa mkononi. “Yes I know they made my watch” {Ndio naifahamu wametengeneza saa yangu} Bibi Lizbeth akatabasamu. “I am the owner of that company” {Mimi ndiye mmiliki wa hiyo kampuni} Imelda akapatwa na mshangao akasimama na kutoa mkono kwa mara nyinigne kwa bibi Lizbeth. Serena akatoa lile gazeti la PLAY BOY na kufungua lile tangazo lenye la sabuni. “Do you know this Man?” {Unamjua huyu Mvulana} Imelda akaangalia ile picha kisha akatikisa kichwa kukubali. “Yes he called Anold, What happening” {Ndio anaitwa Anold, Kuna tatizo gani} Bi Lizbeth akajibu “ I need to work with him how can I see him?” {Nahitaji kufanya kazi nae je naweza kumuona?} “Wait” {Subiri} Imelda akanyanyua simu iliyo pembeni ya computer na kubonyeza namba Fulani.
……………………………………………………………….
Wananchi wamebeba mabango makubwa, Kelele za watu wakitaja Majina ya Mawaziri wakiwa wanatembea kuelekea Ofisi ya Waziri mkuu. Polisi wa kutuliza Ghasia wanatokea na kuanza kurusha mabomu ya Machozi, Kelele za vilio zilikua zikisikika huku kila mmoja akikimbia kunusuru roho yake. Anold akiwa hatua chache na Gari la matangazo linadondoka Bomu la Machozi pembeni yake Hewa inakuwa nzito ugonjwa wa Pumu unaamka anajipapasa mfukoni haoni Dawa ya kutuliza ugonjwa wake ambayo hutembea nayo mfukoni, Anadongoka chini na kupoteza Fahamu huku akipumua kwa Tabu.
…………………………………………….
Haya sasa Mwaj kakamatwa usiku wa manane yuko nje ya chumba cha Saida aikiwa uchi je wale ni kina nani? Je Jorome akitoka itakuwaje? Bibi lizbeth shetani lake la ngono limemsafirisha toka Uswis mpaka Tanzania kuja kukutana na Anold ili alale nae, Anold kadondoka na ugonjwa wa Pumu umemshika hana msaada, Je nini kitafuatia……….
Dondosha like za kutosha na coment zako ili tuendelee..!
Ila kumbuka mimi si mtunzi wa hadithi, hapa nimejaribu tu sitaki lawama..!
Ilipoishia…………………
Anold akiwa hatua chache na Gari la matangazo linadondoka Bomu la Machozi pembeni yake Hewa inakuwa nzito ugonjwa wa Pumu unaamka anajipapasa mfukoni haoni Dawa ya kutuliza ugonjwa wake ambayo hutembea nayo mfukoni, Anadongoka chini na kupoteza Fahamu huku akipumua kwa Tabu.
Sasa Endelea……
Mwaj akageuka haraka huku akijiziba sehemu ya mbele katikati ya mapaja yake. “Nakuuliza wewe ni nani?” Mjumbe alimuuliza tena huku akimmulika na Tochi. Mwaj akapatwa na kigugumizi huku akitetemeka kwa woga. “Mara nyingi wanga hawawezi kuongea mpaka uwapige kibao” Aliongea Mzee Msigwa huku akimsogelea Mwaj na kumpiga kibao cha Nguvu. Kelele ya Maumivu iliyotoka kwa Mwaj Ilimkurupusha Jorome juu ya kifua cha Saida na kukimbilia nguo zake akiangalia mlangoni kwa hofu. Sonyo kubwa likamtoka saida akachukua upande wa kanga akajifunga na kutoka nje, Hamadi macho yake yakagongana na kundi kubwa la Sungusungu wa mtaa huku pembeni ya mlango wake Kuna mwanamke kachuchumaa chini hana nguo. “Eh kuna nini jamani?” Mjumbe alimuangalia saida huku akimsogelea Mwaj na kumnyanyua shingo. “Unamjua huyu?” “Ndio huyu si Mwaj jirani yangu vipi kapata tatizo gani?” Saida kwa hamaki akauliza. “Tumemkuta hapa mlangoni kwako akiwanga” Mzee Msigwa alimjibu Saida. Saida akafunga kanga vizuri huku akimsogelea Mwaj na kunyanyua. “Kumbe wewe ndio mchawi wangu ndio maana sipate wanaume kijiweni” Akampiga kibao cha uso. Mwaj akapiga kelele ya maumivu, Saida akaanza varangati la kumshushia kipondo. Mwaj akakurupuka na kukimbilia ndani kwake. Huku akijilaumu umbea wake umemponza.
………………………….
Simu ya kiganjani ya Marosha ilikua ikiita, Marosha akapokea na kupeleka sikioni. “Hellow Bi. Imelda toka My Image co. ltd. Anaongea natumai naongea na Mr. Marosha” upande wa pili ulijibu. “Ndio Marosha anaongea hapa” “ Sawa namuulizia Anold yupo hapo ofisini kwenu” “Hapana ametoka dakika 45 zilizopita alisema anaelekea Jangwani kwenye Mkutano wa NC” Ok ahasante” Simu ikakatwa.
Imelda anaawaangalia wale wazungu kisha anasimama na kuwaambia “We have to go Jawaningwani Ground now” {Tunapaswa kuelekea Uwanja wa Jangwani sasa hivi” Wale wazungu waainuka na kumfuata Imelda mpaka nje wanaingia katika gari aina ya Prado IX Imelda anaondoa gari wa mwendo wa kasi kuelekea barabara ya Moroco. Msongamano wa magari katika barabara ya magomeni unamchukiza Imelda. Anapaki gari pembeni kisha anawaashiria wale wazungu washuke wanaelekea katika kituo cha Pikipiki {Bodaboda} na kupanda, Bibi Lizbeth anaonekana kuogopa usafiri ule. “We can’t find Helcopter for hire?” {Hatuwezi pata helkopta ya kukodi?} Bibi Lizbeth alimuuliza Imelda. Don’t worry we can use motorbike” {Usihofu tunaweza tumia pikipiki} Imelda alijibu huku akivaa kofia ngumu ya Pikipiki. “Cos demb le afrix redresnt” {Usihofu haya ndio maisha ya Afrika} Giant alimtoa hofu bibi Lizbeth. Sauti ya pikipiki aliyopanda Imelda ilimshtua bibi Lizbeth na kuvaa kofia ngumu haraka haraka.
…………………………………
Waandamaji walikuwa wakikimbia ovyo, Anold akiwa kalala bila chini bila msaada. Mabomu ya machozi yaliendelea kurushwa huku waandamaji wakirusha mawe kuwarushia polisi wa kutuliza ghasia. Kikosi cha vijana wapatao 30 wakuwa wamenavuta matairi yaliyowashwa moto kuelekea kule polisi walipokuwa. Jorome akiwa kifua wazi na miguuni hana viatu alikuwa kashika waya mrufu uliofunga tairi linalowaka moto. Akiwa anakaribia eneo Askari waliposimama aligeuza macho yakatia katika mwili wa kijana aliyelala chini huku waandamaji wakimkanyaga. Jorome aliachia lile tairi na kurudi mbio alipotokea na kumbeba Yule mtu pale chini akaenda mlaza chini ya mti.
Pikipiki zilizowapakia Wakina Imelda zilifika katika uwanja wa mapambano wadi ya polisi dhidi ya waandamaji wa NC, Hali ilikua ni mbaya sana eneo hilo, Moshi mzito wa matairi yaliyochomwa ulikuwa umetanda hewani. “Tororoge usiante boor” {Kwanini tusiondoke hili la hatari?} Serena alimwambia Bibi Lizbeth “ lomba la sesil mubaa” {Hapana lazima le oleo nionje joto la Yule kijana} Bibi Lizbeth alimjibu Serena huku akivua kofia ngumu kichwani. Imelda akawachukua na kuwapeleka wale wageni mpaka kwenye baraza ya ATM ya Exim bank iliyokuwa inalindwa na askari kisha akatokomea kule kwenye mapambano.
……………………………..
Pembeni ya ufukwe wa bahari ya hindi Msichana mrembo anayeitesa nafsi ya kijana Yassin, Akiwa kava tisheti kubwa ya kijani kibichi ikiwa na maandishi makubwa I’M NOT SINGLE kifuani. Pensi kubwa ya khaki na Raba nyeupe zenye miraba ya kijani na khaki. Akiwa amekaa akisikiliza muziki kutoka katika Headphone kubwa. Si mwingine ni D Rose mtangazaji maarufu wa kituo cha Redio cha Sweet Fm. Headphone zinatolewa Masikioni na mikono iliyopambwa na bangili za shanga na saa kubwa ya kijani kisha zinawekwa pembeni. D Rose anajilaza chini kwenye mchanga wa ufukwe wa bahari. “Ni lazima nimtafute Jorome wangu kile alichonipa natamani anipe tena” D Rose aliongea mwenyewe, Tayari penzi la Jorome lilikuwa limeshamchanganya D Rose na kumpeleka mbali na kusababisha kupotea kwa uchangamfu wa D Rose ule wa kawaida. Hatua ndogo za msichana mrembo na machachari wa mjini, Rafiki mpenzi wa D rose zilikuwa zikisogea taratibu katika eneo la ufukwe alipokaa D rose, Miwani kubwa ya Jua huku mdomoni akinyonya pipi aina ya Lol Pop. “Dah umewahi” Sauti ilimtoa D Rose katika mawazo na kugeuka nyuma kuangalia sauti ilipotokea. “Ah Tina nimekuja muda kidogo” Tina anakaa na kutoa ice cream anampa D rose. “Vipi wewe huli?” D rose alimuuliza Tina. Ah mimba yangu haitaki kabisa Ice Cream inataka Lol Pop tu.” Tina alijibu huku akivua miwani. “Eh Tina una Mimba?” “Ndio tena ni miezi miwili sasa huoni?” Tina akimuonyesha D Rose tumbo lake. “Dah Sasa ni ya nani” Hii mimba ni ya Yule afisa wa ikulu” Tina alijibu huku akibonyeza simu. “Afisa yupi tena maana wewe sikuwezi?” “Si Jorome Yule aliyekutumiaga vocha” D Rose kwa mshtuko… “Joromeeeeeeee????”
………………………………………………………
Jorome alimsikiliza mapigo ya moyo ya Yule Mtu na kuyasikia kwa mbali akatoka akikimbia kuvuka barabara kwenda upanda wa pili akagongana na Imelda, Bi Imelda akadongoka chini, Jorome akamuinua. “samahani naomba Msaada wako” Jorome alimwambia Imelda. “Msaada gani?” “Kuna kijana kaanguka anaonekana anashida” Jorome akamshika Imelda mkono na kukimbia nae mpaka pale chini ya Mti, Kwa tahamaki Imelda akaita Anold, Akainama kusikiliza mapigo ya Moyo ya Anold yalikuwa yamesimama kuashiria safari yake ya maisha iliishia pale. Imelda akasimama kwa huzuni kisha akamuashiria Jorome amsubiri akaenda kuwachukua wale wageni wakafika pale chini ya Mti. Macho ya Bibi Lizbeth yakatua katika kifua cha Jorome na kushuka mpaka tumboni akastaajabu uzuri wa Garden ya mapenzi iliyopambwa katika eneo hilo la mwili wa Jorome. “Const leas jupitre de lovez xos Anold” {Huyu ndiye atakayenifikisha katika sayari ya Jupita nikiwa nacheza na hiyo bustani yake ya Mahaba hapo kifuani} Bibi Lizbeth alimwambia Serena huku akimuangalia Jorome kwa Tamaa ya ngono. “Toroit de moso gwaan” {Eh mbona huyu kiumbe hana hadhi yako umeona sura yake} Serena alimjibu Bibi Lizbeth. “ Ques dero iv sontaaa” {Nyamazaaa Sura yake si kitu kwangu namtaka chumbani kwangu jioni ya leo haraka iwezekanavyo
Haya sasa Shetani wa ngono kamuamka Bibi Lizbeth sasa anamtaka Jorome,,, Vipi kuhusu D Rose atafanyaje baada ya kusikia Tina anamimba ya Jorome?
Kama kawaida Mtu wangu wa nguvu dondosha like za kutosha na coment zako ili tuendelee..!
Ila kumbuka mimi si mtunzi wa hadithi, hii nimejaribu tu sitaki lawama..!
SEHEMU YA 9
Aliyejaribu kuandika: Babi D’e Conscious
Mob: +255 717 636358
Anapoishi. Moshi kijijini
Ilipoishia…………………
Macho ya Bibi Lizbeth yakatua katika kifua cha Jorome na kushuka mpaka tumboni akastaajabu uzuri wa Garden ya mapenzi iliyopambwa katika eneo hilo la mwili wa Jorome. “Const leas jupitre de lovez xos Anold” {Huyu ndiye atakayenifikisha katika sayari ya Jupita nikiwa nacheza na hiyo bustani yake ya Mahaba hapo kifuani} Bibi Lizbeth alimwambia Serena huku akimuangalia Jorome kwa Tamaa ya ngono. “Toroit de moso gwaan” {Eh mbona huyu kiumbe hana hadhi yako umeona sura yake} Serena alimjibu Bibi Lizbeth. “ Ques dero iv sontaaa” {Nyamazaaa Sura yake si kitu kwangu namtaka chumbani kwangu jioni ya leo haraka iwezekanavyo
Endelea………
“Haiwezekani...! haiwezekani hata kidogo, Tina umetembea na Jorome Mwanaume wa maisha yangu” D Rose aliongea kwa uchungu huku akirusha mikono kwa ghadhabu. Tina akasimama na kushika kiuno. “Eeh inamaana leo Jorome kawa mwanaume wako? Wewe si ulisema huwezi leo imekuwaje tena, Au ni baada ya kugundua kuwa nammiliki, Umechelewa dada” Tina alimjibu D rose kwa dharau kisha akaondoka. D Rose akakaa chini kwa ghadhabu huku akimuangalia Tina. “Sikubali Jorome ni mwanaume wangu lazima nipiganie penzi langu” D Rose aliongea kwa uchungu huku akijipiga piga kifuani.
…………………………………………………
“Ni lazima na mimi anipe, Haiwezekani nidhalilike kiasi kile mmh” Alikua akiongea mwenyewe Mwaj wakati akijitazama katika kioo chake ndani huku kakaa kitandani. Mwaj akasimama na kujiangalia sehemu zake za nyuma huku akijitingisha. “Saida hajanifikia hata kidogo kaona kaniweza sana sasa Jorome akiingia hapa ndo hatotoka, Mh Yule mwanaume kamliza Saida lazima atakuwa na kitu cha ziada” Mwaj anachukua poda na kuanza kujipodoa kisha anavaa nguo na kutoka nje. Macho yake yanagongana na Saida akifagia mlangoni kwake. Sonyo kali kutoka kwa saida lilipenya masikioni mwake, Mwaj hakujali akatokomea upande wa pili wa ile nyumba macho yake yakaganda katika gari aina ya Toyota GX 100 iliyopaki nje ya nyumba anayoishi Jorome macho yake yakasoma maandishi yaliyo mlangoni mwa ile gari. Ostrich five star hotel, Mwaj akaguna mara Jorome anatoka akiwa kavaa suti nyeusi na kuingia katika ile Gari. Mwaj akakimbia mpaka mbele ya ile gari na kuashiria isubiri. “Samahani mnaenda mjini mnipe lift?” Dereva wa ile gari akamuashiria mkono apande, Gari ilipofika posta karibu na chuo cha usimamizi wa Fedha IFM gari ikasimama Mwaj akashuka, “Samahani Jorome naomba namba yako ya simu?” Jorome akamtajia Mwaj namba ya simu gari ikaondoka mpaka nje ya Hotel ya Ostrich.
………………………………………………………..
Baada ya kutoa Filamu yake ya Pili iitwayo X BOY jina lake lilianza kuganda katika vichwa vya wapenzi wa filamu bongo, Wengi walimfananisha na mcheza filamu wa Marekani Melina Cruez, Magazeti ya udaku yalikuwa yakimfuatilia kila mara ili kupata habari ya kidaku lakini hawakufanikiwa. Uwezo wake wa kuzungumza kingereza ndio uliomfanya akachaguliwa kuwa balozi wa shirika la kutetea haki za wanawake Afrika lililo chini ya Umoja wa mataifa. Alikuwa akipata kila alichokuwa akikitaka katika maisha yake ila siri kubwa iliyo chumbani kwake pindi akiwa na Thum mchumba wake aliyemtambulisha toka akiwa anaanza kazi ya uchezaji wa filamu ilizidi kumtesa Moyoni. Uwezo wa kukimbia Raundi moja katika uwanja wa sita kwa sita ndio uliokuwa tatizo kwa Thum. “Basi mpenzi wangu tumia hata Viagra” kauli hiyo ilikua ni moja ya kauli ambayo alikuwa akiitoa mara kwa mara kwa mpenzi wake lakini Viagra havikusaidia kitu zaidi ya Kufupisha Raundi na kuishia katikati. Akiwa nje ya Duka la kahawa la Kilimanjaro union mkononi kashika gazeti la Daily News huku akifyonza Capassino kwa kutumia mrija taratibu, Mwanga wa jua unaomulika upande aliokaa ulizuiwa kwa miwani kubwa ya jua iliyokinga macho yake vyema. Ni Trovina Temu mrembo wa kichaga anayetikisa katika soko la Muvi Tanzania. “Nimekusubiri muda mrefu Your not good in time my friend” Trovina alikua akimwambia D Rose aliyekua akikaa katika kiti pembeni yake. “ Oh sory si unajua hili jiji na msongamano wa Magari” “Poa don’t worry nipo hapa kukusikiliza” Trovina alimjibu D Rose. “Fine, The things is about my boyfriend” {Sawa, Ishu yenyewe ni kuhusu Mpenzi wangu” “Kafanya nini?” Trovina alirudisha swali ili ajue zaidi. “Katembea na Rafiki yangu na kampa ujauzito na mbaya zaidi nampenda sana na pia huyo rafiki yangu anampenda pia” D Rose aliongea kwa sauti ya kutetemeka kwa hasira. “Calm down girl, Do you think your boyfriend he loves you” { Punguza hasira Msichana, Je unafikiri huyo mpenzi wako anakupenda} “Sina hakika” “Sasa kitu gani kinakufanya wewe umpende mtu usiye na hakika kama anakupenda” “Sikiliza Trovina Mwanaume si sura, Fedha, Kusema nakupenda tu, Mwanaume ni Mapenzi anayokupa mkiwa kitandani kiukweli Jorome ni fundi tena ni fundi kwelikweli muwapo kitandani sipo tayari kumpoteza” Trovina akashusha pumzi ndefu na kuinamisha kichwa kama anafikiri kitu. OK nipe namba ya shemeji ya simu halafu nitajua cha kufanya” D Rose akataja namba ya simu Trovina akaiandika katika simu yake. “Ok nina apoitment na watu Fulani tutawasiliana” Trovina alimuaga D Rose huku akiondoka.
…………………………………………
Giant akiwa juu ya gorofa ya nne katika Hotel ya nyota tano ya Ostrich akitazama kupitia kwenye kioo anaona Gari la Hotel ile lililompakia Jorome likiwasili na Jorome kushuka, Akiongozwa na Yule dereva wakaingia ndani ya hotel. Giant akageuka haraka na kutoa kitambaa cha jasho na kujifuta jasho lililokua likitiririka angali kiyoyozi kilikuwa kikimpuliza pale chumbani kwake. Akaelekea mlangoni na kutoka nje ya chumba chake akatembea hatua chache mpaka kwenye mlango ulioandikwa Presidential Suit akasukuma mlango na kuingia macho yake yakagongana na Bibi Imelda kavaa nguo ya kulalia kakaa pembeni ya kaunta ndogo mkononi ana glass ndogo yenye Amarula. Fosren mediac cozert { Naona amekwishafika} Giant alimwambia Bibi Lizbeth, Bibi lizbeth akashuka katika kile kiti na kusogelea pochi yake ndogo na kutoa mkebe wa Rangi ya dhahabu akatoa kidonge kimoja kidogo akampa Giant. “Dos troxc lel drom” {Kaweke kidonge hichi cha Trixomic katika maji atakayoogea} Giant akapokea na kuingia katika chumba kipana pembeni akafungulia maji katika sink la kuogea akachanganya maji na sabuni sink likajaa Povu akadondoshea kile kidonge. “Dead” Giant alitamka na kutoka nje huku akimnyooshea dole gumba Bibi lizbeth. Mlangoni akapishana na Jorome akiwa na Serena wakiingia ndani.
……………………………………………
” “Sikiliza Trovina Mwanaume si sura, Fedha, Kusema nakupenda tu, Mwanaume ni Mapenzi anayokupa mkiwa kitandani kiukweli Jorome ni fundi tena ni fundi kwelikweli muwapo kitandani sipo tayari kumpoteza” Kauli ya D Rose iliendelea kuzunguka katika kichwa cha Trovina ikapelekea apaki gari pembeni akalaza kichwa chake kwenye siti na kutoa simu yake. Akatafuta ile namba ya Jorome aliyoisevu Shem na kuipiga “Namba unayopiga kwa sasa haipatikani, Jaribu tena baadae” Akakata simu huku akiongea mwenyewe. “ Shem please switch on your phone I need to test your Sweet” {Shem washa simu yako nataka k kuonja utamu wako} Trovina akalala juu ya Stelling ya gari huku akiongea mwenyewe. I am sorry Thum and I am very sorry my friend D Rose I need the things that make you cry from this guy” {Nisamehe Thum na nisamehe sana rafiki yangu D Rose na mimi nahitaji kitu kinachokufanya ulie kutoka kwa huyu kijana”
………………………………………………………..
Serena akatangulia na kumfikia bibi Lizbeth akamvua ile nguo ya kulalia na kubakiwa na chupi tu, Akamuashiria Jorome avue nguo, Jorome akavua nguo zote Serena akatoka nje bibi Lizbeth akamvuta Jorome kitandani, Jorome akamuashiria Bibi Lizbeth Asubiri, Jorome akasogelea kaunta ya vinywaji pale ndani akachukua chupa ya amarula na kuifungua akamuashiria Bibi Lizbeth akae mezani kisha akamwagia ilea amarula mwilini, Jorome akaanza kulamba Yule bibi. Kelele za kilio kutoka kwa bibi Lizbeth zilipenya katika masikio ya Giant na kuja mbio akikimbia akakutana na Serena akiwa mlangoni akamzuia. “Madax nere lovis do” {Bibi anapewa Penzi} Giant akarudi kinyume nyume. Bibi Lizbeth akiwa kalala yuko hoi Jorome akaruhusu Mtarimbo wake kuingia katika eneo lake rasmi la kazi. Sauti ya kushukuru ndio ilisikika kutoka kwa Bibi Lizbeth. Baada ya saa moja na nusu kupita kilitawala kimya mpaka pale mlango ulipofunguliwa Serena akaingia na kumkuta Bibi lizbeth kalala Hoi juu ya Meza, Jorome kakaa kwenye kiti kajifunga Taulo. Serena akamfunika Bibi Lizbeth kisha akamuinua na kumlaza kitandani . Serena akamuashiria Jorome akaoge katika bafu lililo mkono wa kushoto lililowekwa dawa ya Trixomic. Jorome akasimama na kuingia Bafuni………..
Haya sasa vita ya kumgombania Jorome imeibuka kati ya D Rose na Rafiki yake Tina, Huku kukiwa na watu wengine wawili wakipigania kuonja utamu wa Jorome ambao ni Trovina na Mwaj, Huku tayari Jorome keshaingia katika mtego wa Bibi Lizbeth na keshawekewa dawa Ya Trixomic kwenye maji. Je Utamu wa Jorome unaisha kabla Mwaj na Trovina hawaja uonjaaaa?
Dondosha ma Like ya kutosha, Ma coment yako, Nishauri itakua poa zaidi. Ili tuendelee mbele…
Ila kumbuka mimi sio muandishi wa hadithi najaribu tuuu.
Sehemu ya 13.
Aliyejaribu kuandika: Babi D’e Conscious
Mob: +255 717 636358
Anapoishi. Moshi kijijini
Jorome akiwa kafungwa katika mti mkubwa huku macho yake yakiwa yamefungwa kitambaa cheusi. Chacha Marwa akilia machozi huku akikoki Bunduki yake aina ya SMG yenye Risasi Arobaini na Tano ndani alimuangalia Jorome kisha kwa sauti ya kukoroma akatoa Amri. "Seba koki silaha yako" Seba akaweka silaha yake vizuri huku wakimlenga Jorome. "Kijana leo ndio mwisho wako, Wewe si kidume cha kutembelea bustani za watu bira kujua zimegaramiwa, Sasa ukifika huko kawasarimie wakina Osama waambie huku tunakura maisha tu" Jorome akaanza kusali sala zake za mwisho huku akiomba Mungu amsamehe kwa yale aliyofanya, Sura ya Babu yake Mzee mwinyi mkuu ilimjia na kumuona akimpokea.
Paaaa.. Paaaaaa..... Paaaaaaaaa....... Paaaaaaaaah
Sauti ya Milio ya Risasi ilisikika Kimya kikatawala.................!
...........................................................................
Taarifa ya habari kutoka katika radio kubwa iliyo sebuleni kwa Mary Stela ilimfanya apoteze fahamu, Wadada mfanya kazi wa ndani alihangaika kumuamsha Mary Stela bila mafanikio. Akiwa hajui cha kufanya mkonge wa simu ulikua katika mkono wake huku akifikiria namba za kupiga, Shingo ya Mary Stela kugeuzwa ilimshtua wadada na kuachia konge wa simu ukadongoka chini mbio mpaka alipolala boss wake. Machozi yakimtoka Mary Stela huku akilalamika. "Mpenzi wangu usiniacheeee" Kilio kile kilizidi mchanganya wadada na kuanza kumbembeleza boss wake aweze kunyamaza na kumueleza kilichotokea.
...........................................................
aji yakiwa yanamwagika katika bafu la chumba namba ishirini na moja, Sauti za mahaba ndizo zilizoburudisha masikio ya Nyanso msichana anayefanya kazi katika Lodge iitwayo Makutini nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam. Sauti ya mwanamke aliyekuwa akilalamika kwa utamu huku akivuta mate kwa kutumia ugongo wa ulimi wake. Nyanso aliweka Tofali nyuma ya Lodge ile na kupanda jicho lake likapenya katika dirisha dogo la Bafu la kile chumba macho yake yakatua katika bakora ndefu iliyokuwa ikimuadhibu binti mwembamba mwenye macho ya kulegea. Sauti ya mtu kuanguka iliwatoa katika starehe na kutulia kwa muda baada ya hapo milio ikaanza kusikika upya huku Nyanso akiondoka huku akiugulia maumivu.
Baada ya kujisafisha miili yao na kupata stater ya kabla ya chakula walihamia katika eneo rasmi kwa ajili ya chakula kwa wapenzi. Miguno ya mahaba na ufundi wa kijana yule ulizidi kumpagawisha mwanadada yule mpaka akaanza kulia kwa sauti ya chini huku akijitahidi kupeleka mashambulizi kwa mpinzani wake bila kufanikiwa. ''Sitakubali umpe mtu mwingine huu utamu" Ni ahadi ya yule msichana kwa mvulana aliyekuwa akiwajibika vilivyo pale kitandani.
...............................................................
Gari za polisi zikiwa zimeongozana kutokea katika msitu wa mwabwe Pande, Maiti mbili zikiwa katika mari la nyuma. Vifo vya wanajeshi wawili wa jeshi la wananchi Tanzania vilikuwa vikimuumiza akili mkuu wa jeshi la polisi kanda maalumu ndugu Alphonce Chawele. Magari yale yalipishana na Bajaji iliyowabeba wapenzi wawili waliotoka katika Lodge ya Makutini walipokuwa huko katika tukio la kiutuuzima tukio maalumu la kuridhisha nafsi zao kwa kuvunja amri ya sita kwa furaha. Macho ya yule mwanamke yalisindikiza gari la polisi huk u akitoa Tabasanmu pana."Paaah paaaaaaaah paaa" Ni sauti ya milio ya risasi ilijirudia kichwani mwa yule mwanamke na kugeuza shingo. "Jorome umewaona wale wapumbavu" Chaurembo alimnong'oneza Jorome sikioni bila Dereva wa ile bajaji kugundua. Jorome akapitisha shingo pembeni ya ile bajaji ili aweze kuona gari za polisi zilizowapita kwa kasi.
.......................................................
Kushindwa kutekeleza kazi ya kumuua Jorome kulimghadhabisha Sana Diblo, Akiwa juu ya pikiki yake aina ya XR huku akiwa amevaa kofia ngumu kichwani. Diblo alikuwa katika mitaa ya Yombo Machimbo huku macho yake yakitazama kila kijiwe kwa lengo moja tu la kumkamata Jorome na kuichomoa Roho yake. Pikipiki ikiwa inapakiwa nje ya Bar maarufu Temeke Stereo iitwayo Embe Dodo bar and Guest house. Vichochoro vilivyotengenezwa kwa ufundi katika eneo hilo ndivyo vilivyowavutia wateja wengi kuwa katika eneo hilo bila kuonekana. Katika viti pembeni ya ukuta mkubwa uliotenganisha bar ba Guest Jorome alikuwa kakaa na Mrembo na mchezaji wa filamu za Kibongo Trovina huku akiwa kalewa sana, Tayari dawa ya Hearten ilikuwa imekwisha jichanganya na damu ya Trovina na tayari jorome alikuwa akimkokota kuingia katika upande wa guest ndani ya bar ile.
Akitazama mara mbilimbili kama haoni vizuri Diblo alivua kofia ngumu uhuku akifuatilia tukio zuri kutazama kama filamu vile, Ni Jorome mbele ya macho yake akimkokota Trovina kuelekea Upande wa Guest. Akibeba kiti na kukaa katika mlango wa kutokea wa ile Guest Jorome akaagiza Konyagi chupa kubwa na bia aina ya Safari akachanganya katika Glass moja na kuanza kunywa kwa haraka haraka.
.........................................................
Wakiwa chumbani Jorome alifikiri jinsi ya kumridhisha msichana mrembo kama yule aliyejilaza kitandani huku akilalamika kwa sauti inayotokea puani moja kwa moja, Cheni nyembamba ya rangi ya fedha iliyozunguka kiunoni mwa Trovina iliamsha mashetani wa Jorome na kusogea taratibu na kuanza kumvua Trovina nguo Taratibu. Mguu wa kushoto wa Trovina ukiwa magharibi na mguu wa kulia ukiwa mashariki katikati Horome alikuwa akicheza na kisiwa cha utamu kwa kutumia ncha ya ulimi wake huku vidole vya mkono wake vikifanya ziara katika Kiuno laini cha Trovina, Kidole gumba cha mkono mwingine wa Jorome kilikuwa mdomoni mwa Trovina akikinyonya huku akipumua kwa kutumia matundu mawili yaliyobaki ya kutolea hewa na kuvuta hewa. Shughuli ilipoanza Taratibu Trovina alikua juu ya kifua Cha jorome huku jorome akimpandisha juu na kumshusha chini. Mlango wa kile chumba ulisukumwa Jorome akiwa katika hatua ya mwisho kufika kileleni hakujali mlango kufunguliwa mara akajikuta katika mikono ya Diblo huku Trovina akijifunika kwa shuka pale kitandani na yule mtu kutokomea na Jorome pasipojulikana.
....................................................
Nyanso msichana wa kihehe asiyekuwa na choyo aliyefundishwa na wazazi wake kutokuwa na choyo kwa kile alichonacho. Kipele kilicho katika mlango wa uke wake ndicho kilikuwa kikimtesa kila mara na kusababisha kumgaia kila mtu ili aweze kukikuna kipele kile. Bakora ya Jorome aliyoishuhudia kupitia macho yake ndiyo ilimchanganya na kuamua kufunga safari kuwafuatilia Jorome na Chaurembo mpaka ajue mahali anapoishi Jorome.
Wakati Jorome na Chaurembo walipokodisha bajaji ya Aly Mgosi tayari Nyanso alikua keshatuma ujumbe katika simu ya Aly Mgosi ahakikishe anajua mahali Jorome anapoishi kwa Gharama yeyote. Jorome akiwa anaingia katika bar ya Embe Dodo Nyanso macho yake yalikuwa yakifuatilia kila tukio linaloendelea kati ya Trovina na Jorome. Maamuzi aliyochukua kuingia ndani ndiyo yalimuumiza Trovina na kutamani awafuate lakini nafsi ilimsuta na kuamua kusubiri nje mpaka watakapotoka.
Jorome akiwa katangulia mbele huku Diblo yuko nyuma safari yao iliishia nje katika pikipiki ya Diblo, Kitu cha baridi kikigusa katika mbavu zake kilimshtua Jorome na kumfanya atii maagizo baada ya kugundua ni bastola.
Macho ya Nyanso hayakuamini yakionacho baada y kuona bastola ikiwa imeelekezwa katika mbavu za Jorome. Moyo wa huruma ukamuingia na kuamua kuingia katika Tax akaanza kuwafuatilia wakina Jorome.
Pesa ya Nyanso iliishia Magomeni mapipa wakati ile pikipiki iliyombeba Jorome ilikua ikiendelea na safari kuelekea kinondoni. Sauti ya kusunya ilimtoka nyanso huku akishuhudia Pikipiki iliyombeba Jorome ikitokomea mbele ya mboni za macho yake.
.....................................................
Ujumbe unaingia katika simu ya D Rose na kushtuka baada ya kuona jina la Diblo kama mtumaji wa ujumbe ule. "Njoo geto uchukue maiti ya huyu bwege wako" Ni ujumbe uliotumwa na Diblo kwenda katika simu ya D Rose. Kwa haraka D Rose akasimama na kuelekea katika kituo kikuu cha daladala Ubungo akapanda daladala zinazoelekea msasani na kukaa katika siti huku akilaumu mwendo mdogo wa dereva wa ile Daladala. Akiwa mwenye mawazo huku akikumbuka utamu aliopewa na Jorome, D Rose anajilaumu kwa kutoa kazi ya Kuuawa kwa Jorome. Anatoa simu katika mfuko wa suruali yake na kupiga namba fulani. Jibu kutoka kwenye simu kuwa namba haipatikani lilimkasirisha na kusababisha akunye sura yake kwa ghadhabu.
Ndani ya chumba kidogo chenye giza, Huku mlangoni kukiwa na maandishi mekundu yasomekayo JEHANAMU inasikika sauti ya Diblo ikitoa Amri "Vua nguo" Bastola yake ikiwa inamuelekea Jorome, Jorome kwa woga huku akitetemeka. Sauti ya Risasi mbili ilisikika ikiambatana na kilio kikali cha mtu kisha kimya kikatawala.
.....................................................
Haya tena baada ya jorome kupona katika mikono ya mwanajeshi sasa kaingia kaitika mikono ya Muuaji Diblo ni dakika chache tu tokea amuonjeshe binti mrembo Trovina utamu wake…..., Mtoto wa kihehe Nyanso anaitamani bakora ya Jorome je ataipata….? D Rose kaitwa akaichukue Maiti ya Jorome je itakuwaje? Jorome kafa?
Kama kawaida Mtu wangu wa nguvu dondosha like za kutosha na coment zako ili tuendelee..!
Ila kumbuka mimi si mtunzi wa hadithi, hii nimejaribu tu sitaki lawama..!
NB: SAMAHANI KWA UFUPI WA HADITHI LEO NIMEANDIKA NIKIWA SAFARINI KUELEKEA DAR ILA MSIJALI TUPO PAMOJA WATU WANGU WA NGUVU.
Sehemu ya kumi na nne.
Muandishi: Babi D’e Conscious
Mob: +255 717 636358
Anapoishi. Moshi kijijini
Ndani ya chumba kidogo chenye giza, Huku mlangoni kukiwa na maandishi mekundu yasomekayo JEHANAMU inasikika sauti ya Diblo ikitoa Amri "Vua nguo" Bastola yake ikiwa inamuelekea Jorome, Jorome kwa woga huku akitetemeka. Sauti ya Risasi mbili ilisikika ikiambatana na kilio kikali cha mtu kisha kimya kikatawala.
******************************
Akiwa katikati ya Utamu ndani ya hoteli ya Kibo hoteli iliyoko Marangu Mtoni, Huku kamkubatia mumewe kwa nguvu zote ni siku ya kwanza ya fungate ya ndoa yao iliyofanyika katika ukumbi maarufu Moshi vijijini uitwao Bismark, Akiwa mwenye furaha sana sana huku akifurahia penzi toka kwa mumewe, Akitoa ulimi wake kuupenyeza katikati ya papi za mdomo wa mumewe. Ghafla anashtushwa na harufu kali ya ugoro anafumbua macho na kujikuta yupo kitandani huku juu ya kifua kalala mzee Lyaruu baba yake mkwe akiwa kapigwa na bumbuwazi anajikuta akipokea busu kutoka kwa baba yule, Anamsukuma pembeni na kuvuta blanketi anajifunika huku akimuangalia mzee yule kwa hasira. Manka machozi yanalowanisha mashavu yake ndoto aliyoota akiwa na mumewe Amani Masawe siku ya Fungate ya ndoa yao miaka minne iliyopita huku akimpa mumewe penzi zito kumbe kwa upande wa pili kupitia ndoto hiyo baba mkwe wake baba wa Amani alikuwa akifaidi Sukari ya mwanae.
Ikiwa ni miaka mitatu tokea Amani amuache mke wake Manka kijijini Mbahe huko marangu na yeye kwenda Dar es Salaam kutafuta maisha, Ile desturi ya Amani kuja mwishoni mwa mwaka kula sikukuu ya krismasi na mwaka mpya akiwa na mke wake ilipotea ghafla huku akisingizia ni maisha magumu yanayomkabili. Mzee Lyaruu taratibu akaanza kumtamani Mkwe wake na zawadi ndogondogo ndizo zilimsogeza karibu na Manka, Kwa kutumia chibuku nne za pombe aina ya mbege ndizo zilizomlegeza Manka na kuvuliwa chupi na mzee Mtu mzima Mzee Lyaruu kwa mara ya kwanza. Baada ya Mzee Lyaruu kuonja asali alijikuta akitaka kila mara kitendo ambacho Manka alikipinga kwa nguvu zote.
"Haiwezekani" Ni kauli aliyoitoa Manka baada ya kuingiliwa na Mzee Lyaruu bila ridhaa yake tena akimpa penzi zito lile alilompa mumewe kipindi cha fungate yao. Maamuzi ya kuondoka na kuelekea Dar es Salaam ndiyo yaligonga eneo la maamuzi la ubongo wake, Akiwa kavuta mdomo akaanza kukusanya kilicho chake na kuweka kwenye mfuko mkubwa wa plastic. Simu yake ikiwa kaining'iniza shingoni ikiwa ndani ya mfuko maalumu wa kuhifadhia simu, Furushi lake kichwani viatu mkononi akitembea kwa taadhari Asubuhi ya saa kumi na moja katikati ya migomba, Baridi kali ikipiga juu ya ngozi yake na kugonga katika mifupa huku ukungu wa baridi unaotoka katika mlima wa Kilimanjaro ukiwa umendanda uliosababisha asione vizuri mbele anapoelekea. Mzee Lyaruu akinfuata nyuma kwa tahadhari huku akimsihi arudi. Sauti ya Jogoo ndiyo iliyomshtua Mzee Lyaruu na kumfanya arudi ndani na kumuacha manka aende anapoenda.
Ndani ya basi la Meridiani Manka kakaa kwenye siti ya mwisho kaegamia siti ya mbele yake huku machozi yakimtoka, Gari la Meridiani lilikuwa ndo linaiacha wilaya ya Moshi vijijini Safari ya kuelekea jijini Dar es salaam ndo ilikuwa imeanza.
*****************************
D Rose akitembea harakaharaka na kuingia kwenye Daladala inayoelekea Msasani anakaa siti iliyo karibu na Dereva, Kitendo Daladala kukaa katika kituo kile kwa muda mrefu kilizidi kumchukiza D Rose na kusababisha amuangalie Dereva kwa jicho la chuki. Kitendo cha kondakta wa daladala kugonga gari kuashiria dereva aendeshe gari kilimfanya D Rose ashushe pumzi na kumuangalia konda kwa Tabasamu.
"Shusha Ubalozini" Sauti ya D Rose ilipokewa na Kondakta kwa kugonga bodi la gari dereva akapaki pembeni D Rose akashuka huku akimuachia Kondakta noti ya shilingi miatano pasipo kuchukua Chenchi. Safari yake ikaishi ndani ya bajaji iliyopaki upande wa pili mwa barabara. "Nipeleke Jumba la Dhahabu" D rose alitoa amri kwa dereva wa Bajaji, Sauti ya mlio wa bajaji kuashiria safari inaanza uliofuatiwa na sauti ya Dereva wa ile bajaji. "Buku tano" D Rose alikerwa na neno alilotoa dereva wa ile bajaji. "We twende buku tano kitu gani?" Tairi za nyuma za bajaji zilianza mashindano ya kuikimbiza Tairi moja ya mbele ya ile bajaji na kusababisha upepo kuanza kumpuliza D Rose.
Wingi wa watu katika nyumba moja yenye vyumba viwili vyenye milango iliyotazama njiani ulimchanganya zaidi D Rose kwa mwendo wa haraka akapita katikati ya watu na kukutana na polisi aliyekuwa akiwasukuma watu wasisogelee eneo lile, Kitambulisho cha kazi tayari kilikuwa mbele ya macho ya yule askari tukio lililosababisha apishwe njia na kupita, Kwa hofu na ujasiri wa kujilazimisha D Rose alikuwa anasogelea chumba kilicho wazi kati ya vile vyumba. "We nani unayeenda huko, Si tumesema asisogee mtu" Ni sauti ya Sajenti Jovin askari aliyekula kiapo kulitumikia jeshi la polisi kwa uaminifu. "Muache ni muandishi wa habari huyo" Sauti ya askari aliyemruhusu D Rose ilimjibu Sajent Jovin na kusababisha D Rose aendelee na safari ya kuingia katika kile chumba. Macho yake yakakutana ma damu nyingi mlangoni Moyo ukiwa unamuenda mbio na macho kupoteza nguvu ghafla macho yake yanakutana na mwili wa kipande cha mtu ukiwa umelala sakafuni huku matundu mawili yaliyopita risasi yakionekana kichogoni mwa ule mwili huku uso wake ukiwa umelali dimbwi la damu. Diblo alikuwa kalala kimya milele huku pembeni yake kukiwa na bastola. Akirudi kinyumenyume na kugongana na askari aliyekuwa anaingia ndani ya kile chumba kwa mshtuko swali likamtoka D Rose.
"Samahani Afande huyu mtu alikuwa peke yake?" "Ndiyo ira maerezo zaidi atatoa Msemaji wa jeshi ra porisi kuwa na subira" Yule askari alitoa jibu na kuingia ndani ya kile chumba. D Rose akiwa kasimama nje huku maswali mengi yakisumbua ubongo wake anashuhudia Mwili wa Diblo ukitolewa ndani ya Kile chumba.
****************************
Tam Tam Guest House iliyoko Magomeni Mapipa ndani ya chumba chenye jina la Mombasa Wapenzi wawili waliokuwa wakipongezana kwa kazi nzito waliyoifanya masaa kadhaa yaliyopita. Akiwa kakaa kwenye kiti cha kuegamia huku katania miguu yake, Mwanadana akiwa kakaa juu ya miguu ya yule mwanaume huku akilalamika kwa sauti ya mahaba. Ulimi wa mwanaume ulikuwa ukihesabu pingili za uti wa mgongo wa yule mwanadada kitendo kilichosababisha kelele zizidi kusumbua wateja wengine katika vyumba vya ile guest.
" Nataka leo nikupe chakula haramu" Sauti ya jorome iliongea kwa kubembeleza huku ikijibiwa kwa ishara ya kutikisa kichwa toka kwa chaurembo. Mafuta ya YK yalikuwa katika kiganja cha mkono wa Jorome taratibu akiyapaka katika pingili ya Kifaa chake cha kazi, Chaurembo akiwa kalalia kiti kwa tumbo huku kapiga magoti tayari Jorome alikuwa akipenyeza kitu katika shimo lililoharamu kutumika. Kelele kubwa ya Chaurembo ilimshtua jorome na kumfanya atoe bakora yake "Ingizaaa nasikia Raaaaahaaa" Chaurembo alijibu huku akishika bakora ya Jorome kuielekeza njia ilipotokea.
**************************
Ubungo Bus Terminal, Ni maandishi makubwa yaliyogonga mboni za macho yake na kuzalisha tabasamu pana, Mwisho wa kukaa ndani ya Basi la Meridiani ulikuwa umefikia furushi lake likiwa kichwani tayari alikuwa akiliacha geti la kutokea la Kituo kikuu cha mabasi Ubungo. Akiwa kasimama asijue pakuelekea huku neno KAriakoo kilikanda kichwani, Ni neno alilokuwa akimsikia mumewe marakwamara akilisema pindi alipokuwa akija Marangu msimu wa sikukuu. Akatoa simu yake na hutafuta kitu akakutanda na jina lililoandikwa "Mpenzi" akatoa tabasamu na kubonyeza kitufe cha kupiga simu na kupeleka sikioni. Mikono migumu na yenge haraka ilipita sikioni Mwa Manka na kujishtukia simu yake haipo tena katika himaya yake tayari kijana mfupi na mwenye mbio alikua akipotelea upande wa pili wa barabara na kusababisha kilio kikubwa kutoka kwa Manka.
***********************************
Tatizo la kuzaa alilokuwa nalo kijana Thum lilimsababisha kutokuwa nafuraha katika maisha yake, Kila anapokuwa faragha na mpenzi wake Trovina nguvu za kufanya mapenzi hupotea pindi anapofikiria tu kuhusiana na tatizo lake. Vidonge vya viagra alivyonunuliwa na mpenzi wake Trovina ili viweze kurejesha furaha katika mahusiano yao havikubadilisha chochote katika hisia za Thum, Siri hiyo iliendelea kumtesa kwa muda wote na alikuwa amepanga kutoka na mpenzi wake na kumueleza tatizo alilonalo.
Simu ya Trovina ilikua ikiita kwa muda mrefu pasipo kupokelewa, sauti ya mlio wa simu ile ulionyesha kumkera Dokta Nyemo.
"Pokea simu tafadhali" Dokta Nyemo alimwambia Trovina huku akiendelea kuandika kitu juu ya karatasi ya njano pale mezani kwake. Trovina akatoa simu katika pochi yake na kupokea.
"Oh mpenzi wangu Thum, Sory nipo hospital najisikia tofauti nacheck afya nitakujulisha nikitoka" Trovina akakata simu na kukuaa vizuri kumsikiliza Dokta.
"Nimepima maleria majibu yanaonyesha hauna Maleria, Ila nimeangalia vipimo vya mkojo nimegundua kuna neema inakuja kwako" Dokta Nyemo alizungumza kwa upole huku akitabasamu.
"Neema? Unamaanisha nini Dokta?" Trovina alijikuta akiuliza kwa hamaki. "Una ujauzito wa mwezi mmoja na wiki mbili, Kwa hiyo wewe ni mama mtarajiwa" Jibu lile la Dokta lilimkosesha raha Trovina. Akashukuru na kutoka nje, Tayari kichwani mwake alikuwa akipiga mahesabu ana miezi miwili hajakutana na Thum, Kwahiyo mimba ni ya Jorome. Alitikisa kichwa kupinga kile anachowaza.
"Inabidi nimwambie Thum hii mimba ni yake tnen nitajua cha kufanya"
Trovina alijisemea peke huku akishusha pumzi kwa kukata tamaa.
*******************************
Jorome akiwa amebeba mzigo mkubwa wa marobota ya nguo katika toroli nyuma yake yupo kijana anasukuma toroli lile, Akiwa anamaliza kona ya Jengo la Hotel ya Blue Peal. Mtetemeko wa simu yake iliyo latika mfuko wa suruali aliyovaa ulimfanya kusimamisha lile toroli pembeni na kutoa simu ndipo alipokutana na ujumbe mpya ulioingia dakika hiyo katika simu yake. Akijitahidi kutoa lock katika simu yake bila mafanikio Jorome alirudisha simu na kuanza kuvuta mkokoteni ule kuelekea kituo kikuu cha mabasi ubungo. Mtetemeko wa simu uliokuwa ikiita mfulilizo ulisababisha Jorome kutoa msonyo wa nguvu na kuegesha toroli pembeni kisha akatoa simu na kukutana na Missed Call kutoka kwenye namba mpya. Wazo la kusoma ule ujumbe likamjia akatoa lock ya simu yake na kukutana na ujumbe kutoka kwenye ile namba iliyombip.
"Najua kila kitu, Najua wewe na malaya wako ndio mliofanya mauaji kule Jumba la Dhahabu, Sasa ili nisitoe taarifa Polisi nataka unipe kile ulichokua ukimpa yule dada pale Makutini Lodge. Mimi Nyaso"
Ujumbe ule ulimshtua sana Jorome ghafla akashtuka anapigwa kikumbo na kijana mfupi aliyekuwa akikimbia kwa kasi kikumbo kilichopelekea yule kijana kudondoka na kuamka kwa haraka na kuanza kutimua mbio.
*****************************
Ikiwa ni jioni ndani ya Hoteli ya Ajax iliyoko Makumbusho, Sauti ya taratibu toka kwa Live Band iliyokuwa ikitumbuiza nyimbo za taratibu katika eneo hilo. Wapenzi wawili wakiwa wamekaa katika kona pembeni ya Tv kubwa iliyokuwa imezimwa kwa wakati huo. Kimya kilikua kimetawala huku sauti ya vijiko zikisikika kila mmoja akiwa busy na chakula. Wazo la kumwambia Thum kuhusu ujauzito alionao lilikuwa limekwishasogea karibu na kinywa cha Trovina, Akiwa na Tabasamu zito anamshika Thum mkono huku akimuangalia kwa macho ya Mahaba.
"Thum leo ni siku ya furaha sana kwangu na kwako sababu nataka kukupa taarifa ambayo itadhihirisha kiasi gani wewe ni mwanaume wa maisha yangu" Thum anamuangalia Trovina huku machozi yakilowanisha kope za macho yake. Siri ya Tatizo lake la kuzaa tayari ilikuwa njiani kutolewa na Thum huku akiamini siku hiyo ndiyo siku watakayotengana kwa jinsi Trovina anavyotamani kuja kuwa na watoto halafu leo amwambie hawezi mzalisha.
"Trovina mpenzi wangu kabla ya kuniambia unachotaka kusema wacha mimi nikwambie kwanza siri yangu" Thum alimwambia Trovina.
"Hapana Thum Mpenzi wacha nianze mimiiiii" Trovina alimjibu thum kwa utani huku akimbusu katika papi za midomo yake.
Mchezo ndo huo unaendelea.. Jorome kaokoka kwa mara nyingine kifo, Manka ndo kaingia jijini na Simu yake imeibiwa kabla hajawasiliana na mumewe je atafanyajee...? Jorome anakutana na Mtihani mwingine kutoka kwa Nyaso mtoto wa Kihehe na yeye anataka Utamuu, Vipi kuhusu Trovina na Thum je Trovina atasema kuhusu Ujauzito na Thum atasema kuhusu Tatizo lake la kuzaaa>........!
Kama kawaida Stelling ni wewe Dondosha like za kutosha hapa, Coment zako zinanipa mzuka wa kuandika haraka haraka na maushauru yako yananijenga sanaaaa...!
NB: George Iron, Nyemo Chilongani ninyi ni watu wangu wa nguvu, Mnanipa moyo na kunifanya nijikubali mimi ni muandishi kwa ushauri wenu nimeondoa lile neno linalowakera la kutojiamini.
Sehemu ya kumi na nne.
Muandishi: Babi D’e Conscious
Mob: +255 717 636358
Anapoishi. Moshi kijijini
Ndani ya chumba kidogo chenye giza, Huku mlangoni kukiwa na maandishi mekundu yasomekayo JEHANAMU inasikika sauti ya Diblo ikitoa Amri "Vua nguo" Bastola yake ikiwa inamuelekea Jorome, Jorome kwa woga huku akitetemeka. Sauti ya Risasi mbili ilisikika ikiambatana na kilio kikali cha mtu kisha kimya kikatawala.
******************************
Akiwa katikati ya Utamu ndani ya hoteli ya Kibo hoteli iliyoko Marangu Mtoni, Huku kamkubatia mumewe kwa nguvu zote ni siku ya kwanza ya fungate ya ndoa yao iliyofanyika katika ukumbi maarufu Moshi vijijini uitwao Bismark, Akiwa mwenye furaha sana sana huku akifurahia penzi toka kwa mumewe, Akitoa ulimi wake kuupenyeza katikati ya papi za mdomo wa mumewe. Ghafla anashtushwa na harufu kali ya ugoro anafumbua macho na kujikuta yupo kitandani huku juu ya kifua kalala mzee Lyaruu baba yake mkwe akiwa kapigwa na bumbuwazi anajikuta akipokea busu kutoka kwa baba yule, Anamsukuma pembeni na kuvuta blanketi anajifunika huku akimuangalia mzee yule kwa hasira. Manka machozi yanalowanisha mashavu yake ndoto aliyoota akiwa na mumewe Amani Masawe siku ya Fungate ya ndoa yao miaka minne iliyopita huku akimpa mumewe penzi zito kumbe kwa upande wa pili kupitia ndoto hiyo baba mkwe wake baba wa Amani alikuwa akifaidi Sukari ya mwanae.
Ikiwa ni miaka mitatu tokea Amani amuache mke wake Manka kijijini Mbahe huko marangu na yeye kwenda Dar es Salaam kutafuta maisha, Ile desturi ya Amani kuja mwishoni mwa mwaka kula sikukuu ya krismasi na mwaka mpya akiwa na mke wake ilipotea ghafla huku akisingizia ni maisha magumu yanayomkabili. Mzee Lyaruu taratibu akaanza kumtamani Mkwe wake na zawadi ndogondogo ndizo zilimsogeza karibu na Manka, Kwa kutumia chibuku nne za pombe aina ya mbege ndizo zilizomlegeza Manka na kuvuliwa chupi na mzee Mtu mzima Mzee Lyaruu kwa mara ya kwanza. Baada ya Mzee Lyaruu kuonja asali alijikuta akitaka kila mara kitendo ambacho Manka alikipinga kwa nguvu zote.
"Haiwezekani" Ni kauli aliyoitoa Manka baada ya kuingiliwa na Mzee Lyaruu bila ridhaa yake tena akimpa penzi zito lile alilompa mumewe kipindi cha fungate yao. Maamuzi ya kuondoka na kuelekea Dar es Salaam ndiyo yaligonga eneo la maamuzi la ubongo wake, Akiwa kavuta mdomo akaanza kukusanya kilicho chake na kuweka kwenye mfuko mkubwa wa plastic. Simu yake ikiwa kaining'iniza shingoni ikiwa ndani ya mfuko maalumu wa kuhifadhia simu, Furushi lake kichwani viatu mkononi akitembea kwa taadhari Asubuhi ya saa kumi na moja katikati ya migomba, Baridi kali ikipiga juu ya ngozi yake na kugonga katika mifupa huku ukungu wa baridi unaotoka katika mlima wa Kilimanjaro ukiwa umendanda uliosababisha asione vizuri mbele anapoelekea. Mzee Lyaruu akinfuata nyuma kwa tahadhari huku akimsihi arudi. Sauti ya Jogoo ndiyo iliyomshtua Mzee Lyaruu na kumfanya arudi ndani na kumuacha manka aende anapoenda.
Ndani ya basi la Meridiani Manka kakaa kwenye siti ya mwisho kaegamia siti ya mbele yake huku machozi yakimtoka, Gari la Meridiani lilikuwa ndo linaiacha wilaya ya Moshi vijijini Safari ya kuelekea jijini Dar es salaam ndo ilikuwa imeanza.
*****************************
D Rose akitembea harakaharaka na kuingia kwenye Daladala inayoelekea Msasani anakaa siti iliyo karibu na Dereva, Kitendo Daladala kukaa katika kituo kile kwa muda mrefu kilizidi kumchukiza D Rose na kusababisha amuangalie Dereva kwa jicho la chuki. Kitendo cha kondakta wa daladala kugonga gari kuashiria dereva aendeshe gari kilimfanya D Rose ashushe pumzi na kumuangalia konda kwa Tabasamu."Shusha Ubalozini" Sauti ya D Rose ilipokewa na Kondakta kwa kugonga bodi la gari dereva akapaki pembeni D Rose akashuka huku akimuachia Kondakta noti ya shilingi miatano pasipo kuchukua Chenchi. Safari yake ikaishi ndani ya bajaji iliyopaki upande wa pili mwa barabara. "Nipeleke Jumba la Dhahabu" D rose alitoa amri kwa dereva wa Bajaji, Sauti ya mlio wa bajaji kuashiria safari inaanza uliofuatiwa na sauti ya Dereva wa ile bajaji. "Buku tano" D Rose alikerwa na neno alilotoa dereva wa ile bajaji. "We twende buku tano kitu gani?" Tairi za nyuma za bajaji zilianza mashindano ya kuikimbiza Tairi moja ya mbele ya ile bajaji na kusababisha upepo kuanza kumpuliza D Rose.
Wingi wa watu katika nyumba moja yenye vyumba viwili vyenye milango iliyotazama njiani ulimchanganya zaidi D Rose kwa mwendo wa haraka akapita katikati ya watu na kukutana na polisi aliyekuwa akiwasukuma watu wasisogelee eneo lile, Kitambulisho cha kazi tayari kilikuwa mbele ya macho ya yule askari tukio lililosababisha apishwe njia na kupita, Kwa hofu na ujasiri wa kujilazimisha D Rose alikuwa anasogelea chumba kilicho wazi kati ya vile vyumba. "We nani unayeenda huko, Si tumesema asisogee mtu" Ni sauti ya Sajenti Jovin askari aliyekula kiapo kulitumikia jeshi la polisi kwa uaminifu. "Muache ni muandishi wa habari huyo" Sauti ya askari aliyemruhusu D Rose ilimjibu Sajent Jovin na kusababisha D Rose aendelee na safari ya kuingia katika kile chumba. Macho yake yakakutana ma damu nyingi mlangoni Moyo ukiwa unamuenda mbio na macho kupoteza nguvu ghafla macho yake yanakutana na mwili wa kipande cha mtu ukiwa umelala sakafuni huku matundu mawili yaliyopita risasi yakionekana kichogoni mwa ule mwili huku uso wake ukiwa umelali dimbwi la damu. Diblo alikuwa kalala kimya milele huku pembeni yake kukiwa na bastola. Akirudi kinyumenyume na kugongana na askari aliyekuwa anaingia ndani ya kile chumba kwa mshtuko swali likamtoka D Rose."Samahani Afande huyu mtu alikuwa peke yake?" "Ndiyo ira maerezo zaidi atatoa Msemaji wa jeshi ra porisi kuwa na subira" Yule askari alitoa jibu na kuingia ndani ya kile chumba. D Rose akiwa kasimama nje huku maswali mengi yakisumbua ubongo wake anashuhudia Mwili wa Diblo ukitolewa ndani ya Kile chumba.
****************************
Tam Tam Guest House iliyoko Magomeni Mapipa ndani ya chumba chenye jina la Mombasa Wapenzi wawili waliokuwa wakipongezana kwa kazi nzito waliyoifanya masaa kadhaa yaliyopita. Akiwa kakaa kwenye kiti cha kuegamia huku katania miguu yake, Mwanadana akiwa kakaa juu ya miguu ya yule mwanaume huku akilalamika kwa sauti ya mahaba. Ulimi wa mwanaume ulikuwa ukihesabu pingili za uti wa mgongo wa yule mwanadada kitendo kilichosababisha kelele zizidi kusumbua wateja wengine katika vyumba vya ile guest." Nataka leo nikupe chakula haramu" Sauti ya jorome iliongea kwa kubembeleza huku ikijibiwa kwa ishara ya kutikisa kichwa toka kwa chaurembo. Mafuta ya YK yalikuwa katika kiganja cha mkono wa Jorome taratibu akiyapaka katika pingili ya Kifaa chake cha kazi, Chaurembo akiwa kalalia kiti kwa tumbo huku kapiga magoti tayari Jorome alikuwa akipenyeza kitu katika shimo lililoharamu kutumika. Kelele kubwa ya Chaurembo ilimshtua jorome na kumfanya atoe bakora yake "Ingizaaa nasikia Raaaaahaaa" Chaurembo alijibu huku akishika bakora ya Jorome kuielekeza njia ilipotokea.
**************************Ubungo Bus Terminal, Ni maandishi makubwa yaliyogonga mboni za macho yake na kuzalisha tabasamu pana, Mwisho wa kukaa ndani ya Basi la Meridiani ulikuwa umefikia furushi lake likiwa kichwani tayari alikuwa akiliacha geti la kutokea la Kituo kikuu cha mabasi Ubungo. Akiwa kasimama asijue pakuelekea huku neno KAriakoo kilikanda kichwani, Ni neno alilokuwa akimsikia mumewe marakwamara akilisema pindi alipokuwa akija Marangu msimu wa sikukuu. Akatoa simu yake na hutafuta kitu akakutanda na jina lililoandikwa "Mpenzi" akatoa tabasamu na kubonyeza kitufe cha kupiga simu na kupeleka sikioni. Mikono migumu na yenge haraka ilipita sikioni Mwa Manka na kujishtukia simu yake haipo tena katika himaya yake tayari kijana mfupi na mwenye mbio alikua akipotelea upande wa pili wa barabara na kusababisha kilio kikubwa kutoka kwa Manka.
***********************************
Tatizo la kuzaa alilokuwa nalo kijana Thum lilimsababisha kutokuwa nafuraha katika maisha yake, Kila anapokuwa faragha na mpenzi wake Trovina nguvu za kufanya mapenzi hupotea pindi anapofikiria tu kuhusiana na tatizo lake. Vidonge vya viagra alivyonunuliwa na mpenzi wake Trovina ili viweze kurejesha furaha katika mahusiano yao havikubadilisha chochote katika hisia za Thum, Siri hiyo iliendelea kumtesa kwa muda wote na alikuwa amepanga kutoka na mpenzi wake na kumueleza tatizo alilonalo.
Simu ya Trovina ilikua ikiita kwa muda mrefu pasipo kupokelewa, sauti ya mlio wa simu ile ulionyesha kumkera Dokta Nyemo."Pokea simu tafadhali" Dokta Nyemo alimwambia Trovina huku akiendelea kuandika kitu juu ya karatasi ya njano pale mezani kwake. Trovina akatoa simu katika pochi yake na kupokea."Oh mpenzi wangu Thum, Sory nipo hospital najisikia tofauti nacheck afya nitakujulisha nikitoka" Trovina akakata simu na kukuaa vizuri kumsikiliza Dokta."Nimepima maleria majibu yanaonyesha hauna Maleria, Ila nimeangalia vipimo vya mkojo nimegundua kuna neema inakuja kwako" Dokta Nyemo alizungumza kwa upole huku akitabasamu."Neema? Unamaanisha nini Dokta?" Trovina alijikuta akiuliza kwa hamaki. "Una ujauzito wa mwezi mmoja na wiki mbili, Kwa hiyo wewe ni mama mtarajiwa" Jibu lile la Dokta lilimkosesha raha Trovina. Akashukuru na kutoka nje, Tayari kichwani mwake alikuwa akipiga mahesabu ana miezi miwili hajakutana na Thum, Kwahiyo mimba ni ya Jorome. Alitikisa kichwa kupinga kile anachowaza."Inabidi nimwambie Thum hii mimba ni yake tnen nitajua cha kufanya"Trovina alijisemea peke huku akishusha pumzi kwa kukata tamaa.
*******************************Jorome akiwa amebeba mzigo mkubwa wa marobota ya nguo katika toroli nyuma yake yupo kijana anasukuma toroli lile, Akiwa anamaliza kona ya Jengo la Hotel ya Blue Peal. Mtetemeko wa simu yake iliyo latika mfuko wa suruali aliyovaa ulimfanya kusimamisha lile toroli pembeni na kutoa simu ndipo alipokutana na ujumbe mpya ulioingia dakika hiyo katika simu yake. Akijitahidi kutoa lock katika simu yake bila mafanikio Jorome alirudisha simu na kuanza kuvuta mkokoteni ule kuelekea kituo kikuu cha mabasi ubungo. Mtetemeko wa simu uliokuwa ikiita mfulilizo ulisababisha Jorome kutoa msonyo wa nguvu na kuegesha toroli pembeni kisha akatoa simu na kukutana na Missed Call kutoka kwenye namba mpya. Wazo la kusoma ule ujumbe likamjia akatoa lock ya simu yake na kukutana na ujumbe kutoka kwenye ile namba iliyombip."Najua kila kitu, Najua wewe na malaya wako ndio mliofanya mauaji kule Jumba la Dhahabu, Sasa ili nisitoe taarifa Polisi nataka unipe kile ulichokua ukimpa yule dada pale Makutini Lodge. Mimi Nyaso"
Ujumbe ule ulimshtua sana Jorome ghafla akashtuka anapigwa kikumbo na kijana mfupi aliyekuwa akikimbia kwa kasi kikumbo kilichopelekea yule kijana kudondoka na kuamka kwa haraka na kuanza kutimua mbio.
*****************************
Ikiwa ni jioni ndani ya Hoteli ya Ajax iliyoko Makumbusho, Sauti ya taratibu toka kwa Live Band iliyokuwa ikitumbuiza nyimbo za taratibu katika eneo hilo. Wapenzi wawili wakiwa wamekaa katika kona pembeni ya Tv kubwa iliyokuwa imezimwa kwa wakati huo. Kimya kilikua kimetawala huku sauti ya vijiko zikisikika kila mmoja akiwa busy na chakula. Wazo la kumwambia Thum kuhusu ujauzito alionao lilikuwa limekwishasogea karibu na kinywa cha Trovina, Akiwa na Tabasamu zito anamshika Thum mkono huku akimuangalia kwa macho ya Mahaba."Thum leo ni siku ya furaha sana kwangu na kwako sababu nataka kukupa taarifa ambayo itadhihirisha kiasi gani wewe ni mwanaume wa maisha yangu" Thum anamuangalia Trovina huku machozi yakilowanisha kope za macho yake. Siri ya Tatizo lake la kuzaa tayari ilikuwa njiani kutolewa na Thum huku akiamini siku hiyo ndiyo siku watakayotengana kwa jinsi Trovina anavyotamani kuja kuwa na watoto halafu leo amwambie hawezi mzalisha."Trovina mpenzi wangu kabla ya kuniambia unachotaka kusema wacha mimi nikwambie kwanza siri yangu" Thum alimwambia Trovina."Hapana Thum Mpenzi wacha nianze mimiiiii" Trovina alimjibu thum kwa utani huku akimbusu katika papi za midomo yake.
Mchezo ndo huo unaendelea.. Jorome kaokoka kwa mara nyingine kifo, Manka ndo kaingia jijini na Simu yake imeibiwa kabla hajawasiliana na mumewe je atafanyajee...? Jorome anakutana na Mtihani mwingine kutoka kwa Nyaso mtoto wa Kihehe na yeye anataka Utamuu, Vipi kuhusu Trovina na Thum je Trovina atasema kuhusu Ujauzito na Thum atasema kuhusu Tatizo lake la kuzaaa>........!
Kama kawaida Stelling ni wewe Dondosha like za kutosha hapa, Coment zako zinanipa mzuka wa kuandika haraka haraka na maushauru yako yananijenga sanaaaa...!
NB: George Iron, Nyemo Chilongani ninyi ni watu wangu wa nguvu, Mnanipa moyo na kunifanya nijikubali mimi ni muandishi kwa ushauri wenu nimeondoa lile neno linalowakera la kutojiamini.
Sehemu ya kumi na T.
Muandishi: Babi D’e Conscious
Mob: +255 717 636358
Anapoishi. Moshi kijijini
Ilipoishia......................
Ikiwa ni jioni ndani ya Hoteli ya Ajax iliyoko Makumbusho, Sauti ya taratibu toka kwa Live Band iliyokuwa ikitumbuiza nyimbo za taratibu katika eneo hilo. Wapenzi wawili wakiwa wamekaa katika kona pembeni ya Tv kubwa iliyokuwa imezimwa kwa wakati huo. Kimya kilikua kimetawala huku sauti ya vijiko zikisikika kila mmoja akiwa busy na chakula. Wazo la kumwambia Thum kuhusu ujauzito alionao lilikuwa limekwishasogea karibu na kinywa cha Trovina, Akiwa na Tabasamu zito anamshika Thum mkono huku akimuangalia kwa macho ya Mahaba.
"Thum leo ni siku ya furaha sana kwangu na kwako sababu nataka kukupa taarifa ambayo itadhihirisha kiasi gani wewe ni mwanaume wa maisha yangu" Thum anamuangalia Trovina huku machozi yakilowanisha kope za macho yake. Siri ya Tatizo lake la kuzaa tayari ilikuwa njiani kutolewa na Thum huku akiamini siku hiyo ndiyo siku watakayotengana kwa jinsi Trovina anavyotamani kuja kuwa na watoto halafu leo amwambie hawezi mzalisha.
"Trovina mpenzi wangu kabla ya kuniambia unachotaka kusema wacha mimi nikwambie kwanza siri yangu" Thum alimwambia Trovina.
"Hapana Thum Mpenzi wacha nianze mimiiiii" Trovina alimjibu thum kwa utani huku akimbusu katika papi za midomo yake.
*************************************
Sasa endelea..................
Akiwa kazungukwa na watu, wengine wakimuona kama kituko mbele ya macho yao huku wengine wakimdhihaki kwa ushamba wake ila kuna kundi dogo la watu waliokuwa wakimuonea huruma pasipo kuonyesha msaada kwake. Akiwa na mawazo kichwani mwakee bila kujua pa kuanzia, Mikono minene ilianza kusukuma watu huku kichwa chenye nywele nyingi zilizojisokota ovyoovyo kikijipenyeza kuruhusu macho yake kutazama kilichokuwa kikitazamwa na kundi kubwa la watu. Hipsi zilizojazia na kufanya gauni pana lililoshonwa kwa vitenge kutanuka na kutengeneza namba nane zilimvutia mtazamaji na kupelekea kusogea karibu zaidi na kukutana na kisa kilichomshangaza mwanamke mzuri kiasi kile alikua akililia simu yake iliyoibiwa na kibaka, Aina ya simu ndiyo ilimstaajabisha zaidi kwa hadhi ya yule msichana hakustahili hata kushtuka. Nokia Tochi ndiyo ilikua ikimliza Manka mpaka kugalagala pale chini kwenye mchanga. Mikono migumu ikimshika mkono na kumuinua huku furushi lake likiwa mkononi moja kwa moja mpaka kwenye Toroli juu ya marobota ya nguo safari ya kuvuka upande wa pili wa barabara ikaanza.
Kama wafanyavyo makuli bandarini ndivyo ilivyokuwa pale ubungo External marobota yalikuwa yakishuka harakaharaka kisha toroli likageuzwa na kupakiwa nje ya jengo refu lenye gorofa tano huku kibao kikisomeka Dar Luxury Hotel. Macho ya Manka yalikuwa yakishangazwa na uzuri wa jengo lile refu lenye marumaru juu mpaka chini na kusababisha Tabasamu kuupamba uso wake.
****************************
"Jorome kawezaje kumuua Diblo?" ni swali lenye utata lililozidi kupasua kichwa cha D Rose huku akifikiria historia ya Diblo anavyoifahamu ni jambazi aliyeshindikana anayetumia dawa kujificha na ni miaka zaidi ya thelathini sasa Jeshi la polisi linamtafuta bila mafanikio. Utaalamu wake wa kulenga shabaha ndio uliofanya Askari wengi kupoteza maisha pindi wanapokutana nae na kuamka mapambano ya kurushiana silaha. Hakuamini kama Diblo tayari ni maiti tena maiti iliyokufa kizembe. Gazeti la Taarifa lilikua mkononi mwake huku maandishi makubwa yaliyokuwa yakimkera yakiwa yanasomeka.
"HATIMAE MUUAJI AUAWA" Kumbukumbu ya kazi aliyompa Trovina na mpaka kufika muda huo hakupata majibu ikagonga katika eneo la kumbukumbu katika medula ya ubongo wake maamuzi ya kumpigia Trovina simu ndiyo yalifuata. Simu ya D Rose ikiwa sikioni huku akisikiliza mpigiwaji apokee simu simu ilikua ikiita bila kupokelewa, Akarudia zaidi ya maratano lakini aliambulia patupu akaweka simu yake juu ya meza ndogo pale chumbani kwake na kujilaza kitandani huku ajishika kichwa.
**********************************
Trovina akiwa mbele ya mpenzi wake Thum akimuangalia kwa wasiwasi Jambo alilotaka kumwambia lilizidi kumkaba. Kwa sauti iliyojaa upole uliochanganyika na woga swali lenye kumaanisha likamtoka kinywani mwake.
" Thum unanipenda?" Thum kwa woga huku akiongea bila kujiamini alijibu kwa sauti ya chini
"Ndio nakupenda" Trovina akashika vidole vyake huku akiangalia chini vidole vya mguu wake wa kushoto vikichorachora chini. "Katika maisha yako ungependa kuwa na mtoto gani wa kwanza?"
Swali lile lilimchoma Thum na kusababisha kupaliwa na chakula, Mfumo wake wa hewa ukashindwa kufanya kazi vyema kama gunia Thum akadondoka chini. Trovina kwa woga akatazama pande zote kuhitaji msaada, kwa umaarufu alionao ulisababisha ndani ya dakika chache watu wengi kumzunguka na tayari Thum alikuwa ndani ya Gari ya Trovina na safari ya kuelekea hospitali ikaanza.
"Huruhusiwi kuingia humu ndani, Tuache tufanye kazi yetu" Sauti ya nesi ilikuwa ikigongana na lango kuu la mmoja wa mlango wa fahamu wa mwanadamu unaotumika katika kusikia sauti ulio katika Mwili wa Trovina. Kwa kukata tamaa akashuhudia Thum akiingizwa katika chumba kimoja chenye maandishi yanayosomeka PRIVATE huku kalala juu ya kitanda mirija ya kupitisha hewa ikiwa puani.
***********************************
Maji yakiwa yanaichapa miili yao raha waliyokuwa wakiipata ilifanya miili yao kugandiana huku wakisahau joto la jiji la Dar es salaam lililokuwa likiivisha miili yao muda mchache uliopita. Sauti ya simu ndiyo iliyomshtua Jorome na kusababisha kumuachia Msichana yule mgeni jijini na kufunua pazia laini la plastiki lililotenganisha bafu na chumba kisha mkono kutua kitandani na kupokea simu.
"Umeamuaje" Ni swali toka kwa Nyanso na kupenya katika sikio la Jorome. "Nitakutafuta baadae" Jorome alitoa jibu na kukata simu na kisha kuizima kabisa ile anataka kugeuka macho yake yakatua katika mwili wa manka uliositiriwa kwa kanga moja pekee tena ikiwa imelowa maji. "Dah kama yule demu wa kwenye filamu ya X niliyotazama jana" Jorome alijikuta akisema peke yake, Tayari uroho wa ngono ulikuwa umemkaba kama wacheza mieleka wanavyofanyaga akambeba juu juu Manka na kumbwaga Kitandani. "Wanawake wa kichaga hawajui kufanya mapenzi wao wanalalaga tu mwanaume afanye kila kitu" Kauli ya kila mara ya rafiki yake Nyamboso ilimtahadharisha Jorome na kuchipua tabasamu dogo, Kisha wazo la kuandaa ushindi likapitishwa ndani ya kichwa chake bila kupingwa
"Sasa ngoja leo nimuonyeshe mimi ni kiboko yao hapa Dar es Salaam"
Ukucha wake mrefu wa kidole cha mwisho ulianza kutembea taratibu katika kwapa la Manka huku upepo wa taratibu toka katika kinywa cha jorome ukipuliza katika tundu la sikio la Manka. Sauti ya kubwa ya kutaja jina la YESU kwa nguvu ilimtoka Manka huku akijinyonganyonga pale kitandani. Kitendo cha ulimi wa Jorome kugusana na Kisiwa cha utamu eneo la mwanzo la katikati ya Mapaja ya Manka kilizidisha kelele hapo ndipo jorome alipoanza kucheza na mfupa ulio latika kiuno cha Manka kwa kutumua kidole gumba kitendo kilichosababisha manka aanze kukatika kama yupo katika ngoma ya Mdundiko. Kilichofuatia baada ya hapo kiukweli mimi sikumbuki maana nilifunga macho kutokana na ugeni mkubwa wa kutazama matukio kama yale ambayo huwa nasikia hutokea sehemu maalumu tu.
***************************
Uso usiokuwa na matumaini aliokutana nao Trovina ulimchanganya na kusababisha asimame katika benchi alilokuwa kakaa na kutarajia neno kutoka kwa mtu yule.
"Huyu mgonjwa ni ndugu yako?" Ni swali lililotoka kwa yule dokta aliyekuwa akitarajia kumwambia chochote. "Ndio Dokta, ni mpenzi wangu" Trovina alijibu huku akiwa anamfuata yule Dokta.
"Sawa nifuate ofisini" Dokta alijibu huku akielekea kwenye chumba kilichoandikwa MGANGA kisha Trovina akafuata nyuma na kuingia ndani ya kile chumba. Juu ya kiti kilicho mbele ya meza ya yule Dokta Trovina akajibwaga kwa uchovu. Macho ya Daktari yaliashiria Wingu zito jeusi mbeleni, Ujasiri aliofundishwa katika kuwasilisha tatizo mbele ya mteja ulipotea na kujikuta akidondosha chozi kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 20 aliyofanya kazi ya udaktari katika maisha yake. Picha ya mwanae Dinaa aliyejiua sababu ya kumpoteza mpenzi wake katika ajali ilimjia na kumfananisha binti aliyesimama mbele yake na Binti yake Diana anayeenda kukabiliana na taarifa mbaya kama aliyoipata binti yake miaka miwili iliyopita na kuzalisha Kifo cha binti yake kipenzi. Machozi ya Dokta tayari yalitoa jibu kichwani mwa Trovina, Jibu la Msiba tena msiba mzito wa mpenzi wake Thum. Kwa ujasiri Trovina alijikuta akitamka maneno ambayo Dokta hakuyatarajia.
"Mmeshamuhifadhi chumba cha Maiti?" akili aliyonayo ya kuzalisha maswali ya mtego ndiyo iliyomuingiza Dokta katika Eneo husika na kujikuta anajibu swali kama lilivyotarajiwa kujibiwa.
"Hapana ndio anaandaliwa ili apelekwe." kilio kikubwa cha uchungu toka kwa Trovina kilibadilisha ukimya ulio katika hospitali ile kupotea na Manesi kuacha kazi nyingine na kuanza kumbembeleza Trovina.
**********************************
"Mpenzi wa Msanii wa Filamu Aaga Dunia" Chakula chammaliza Mpenzi wa Trovina" Trovina aachiwa mtoto tumboni na mpenzi wake" "Ndoto ya Kuolewa na Thum yatenganishwa na kifo" Hivi ni vichwa vya habari vya magazeti vilivyokuwa vikipita mbele ya macho ya D Rose ndani ya Studio ya Radio Sweet Fm. Gazeti la Mdaku lilimvutia D rose na kichwa cha habari kinachosema "Trovina aachiwa mtoto tumboni na mpenzi wake" Akisoma kwa umakini maelezo ya habari ile yalizidi kumchanganya na kuhisi kuna kitu nyuma ya pazia. Kitendo cha Thum kumuomba ushauri D Rose miezi miwili kabla ya kifo chake ndicho kilichoifanya siri ya Thum kubaki duniani. Ni siri ya kutokuwa na uwezo wa kuzaa ni siri aliyotaka kuipatia ufumbuzi. Ni ushauri wa D Rose kumshauri Thum amwambie Trovina tatizo lake ndio uliomkutanisha Thum na kifo. "Iweje leo Trovina awe na ujauzito wa Thum?" Swali jingine gumu katika maisha ya D Rose" Kazi yake ya uandishi wa habari ilimfanya awe mdadisi na mchunguzi wa mambo ya watu. "Hapana hili siliachi lazima huu ujauzito una kitu nyuma ya pazia" D rose alijikuta akipitisha mawazo yake bila kuhitaji ushauri wa mtu. Akiacha kiti cha pale studio na kuanza kushuka ngazi za ofisi yao kuelekea nje huku akipiga simu. "Pole shoga angu, Naweza kukuona?" kimya kilitawala na kisha simu ya D Rose kukatwa kwa kidole gumba ktayari macho yake yalikua mbele ya mlango wa Tax zilizo katika kituo cha Tanx nje ya Ofisi yao. "Nipeleke Masaki" Tayari D Rose alikua ndani ya Tanx na safari ilikua imekwishaanza kuelekea Masaki.
***********************************
Afande John kama walivyopenda kumuita wakazi wa kimara mwisho ni kijana mkakamavu mwenye umri usiozidi miaka arobaini na Tano. Kazi yake ya upolisi aliyoachishwa miaka kumi iliyopita ndiyo iliyosababisha John kuitwa Afande. Pamoja na kuachishwa kazi ya Jeshi la Polisi kwa kosa la kupokea rushwa lakini bado aliipenda kazi hiyo. Nguo zake za polisi alizobaki nazo alizipenda na kuzitunza sana sababu mara nyingi huzitumia katika kazi yake ya polisi jamii. Namba yake ya P 03347 D aliyokuwa akiitaja pindi anapopata kazi ya kumkamata mtu ilikuwa kama wimbo wa taifa katika kichwa chake. Nguvu na uwezo aliokuwa nao katika kazi ya kupambana na adui ndiyo iliyopelekea askari polisi wengi kumshirikisha katika matukio mbalimbali ya kupambana na wahalifu. Afande John alikuwa kavalia nguo zake za Jeshi la polisi zilizokosa mkanda na Kofia huku kichwani akiwa kavaa kofia ndogo ya mtumba nyeusi kama wanazovaa vikosi vya makampuni binafsi ya ulinzi . Akitembea kwa ukakamavu huku kirungu kikiwa mkononi tayari alikuwa akikatiza mitaa ya Machimbo yombo mbele yake akiongozwa na Binti wa kihehe Nyanso. Mbele ya mlango wa chumba cha Jorome tayari mkono wa Nyanso ulikuwa ukigonga mlango wa chumba kile. Sauti ya kitasa cha mlango ule kufunguliwa kwa ndani kisha sura mbaya ya Jorome ikatokeza na kupokewa na sauti laini isiyo na masihara ya Nyanso.
"Naamini wewe ndiye Jorome?" Nyanso alimtwanga Jorome swali pasipo salamu. "NDio mimi?" Jorome alitoa jibu kwa kujiamini. "Ok naitwa Nyanso nimekutumia ujumbe hujaufanyia kazi, Ulisema utanitafuta mpaka leo kimya sasa yule askari palee kaja kukuchukua" Nyanso alimwambia Jorome huku akirembua rembua. Jorome kabla hajajibu tayari Afande John alikwishafika na kumvuta nje tayari Suruali aliyovaa ilikua imekwishashikwa kwa nyuma kwa aina ya Tanganyika jeki iliyosababisha Jorome atembelee vidole. Nyanso akija kwa nyuma huku akitabasamu na akijifanya asikii sauti ya Jorome iliyokuwa ikimbembeleza wayamalize macho ya Nyanso yanatua katika maandishi yaliyochakaa yanayosomeka. KONA KALI GUEST HOUSE. "Embu subiri kwanza" Nyanso alitoa amri iliyotekelezwa kwa utiifu na Afande John kama vile imetoka kwa askari mwenye cheo cha juu katika jeshi la polisi huku Afande John akiunganisha na Saluti ya utiifu kwa Nyanso, Saluti ile iliyomuongezea uoga Jorome. "Ukitaka yaishe twende ndani ya ile Guest mimi na wewe Tu, Unipe ulichompa yule dada kule Makutini Lodge" Sauti ya kunong'oneza toka kwa Nyanso iliarifu eneo la mawasiliano la mwili wa jorome.
********************************************
Kimya kikiwa kimetawala ndani ya nyumba kubwa katika eneo la masaki, Walikuwa wamekaa wasichana wawili katika sebule kubwa yenye Thamani, Daftari ndogo ikiwa mkononi na kalamu huku macho yenye maswali yakimtazama binti aliye pembeni yake tayari D Rose alikuwa kazini katika kazi ya umbea ambayo hakupangiwa kuifuatilia na ofisi yake.
"Trovina naweza kukuuliza kitu" Swali la kwanza baada ya kimya kirefu tokea D Rose na Trovina wasalimiane. "Yes go on" {Ndio unaweza endelea"
"Inasadikika una ujauzito je huo ujauzito ni wa mpenzi wako marehemu Thum?" Trovina aliangalia chini kama anatafakari jibu la lile swali alipoinua uso tayari ulikuwa umelowa kwa machozi.
"Ndio ni ya Thum" D Rose akaandika kitu juu ya kile kidaftari kisha akaachia tabasamu pana. " Hivi nikikwambia kuwa Thum hana uwezo wa kuzaa utasemaje?" Trovina alifuta machozi na kumkazia macho D Rose. " Sitosadiki maneno yako sababu Thum namjua mimi" D rose akachukua glass ya maji pale mezani na kunywa funda moja kisha akaunganisha na maelezo yenye swali ndani yake. "Thum hakuwa na uwezo wa kuzaa na aliwahi kuja niomba ushauri nikamshauri aje akwambie na jana muda wa jioni aliniambia anaelekea Hotel ya ajax kukutana na wewe ili akwambie tatizo lake, Je kabla ya mauti alifanikiwa kukwambia?" Swali lile lilimchanganya Trovina na kupoteza ujasiri wake wa kujibu maswali na kujikuta akitamka neno moja tu "No way" {Hakuna jinsi} D Rose hakumuacha apumue akambebesha swali jingine.
"Unamaanisha nini, Au unamaanisha kuwa umemsingizia Thum?"
Trovina kwa sauti ya taratibu huku akishika tumbo akajikuta anasema "Hii mimba ni ya Shemeji Jorome"
D Rose kwa Sauti ya mshangao akajikuta amesimama huku kamshika Trovina blauzi kwa kumkunja.
"Mimba ya Jorome wanguuuuuuuuuuuuuu???"
*************************************
Manka mikononi mwa Jorome tayari kaamshwa mapepo ya ngono mtoto wa kichaga anakatika ngoma ya mdundiko kitandani, Nyanso kamteka Jorome akili yake yote iko ndani ya Zipu ya suruali ya Jorome, Thum kafa kamuachia Trovina kizaa zaa, Muandishi wa habari D Rose anaingia kazini na kukutana na Tukio linalomuumiza tukio la Mpenzi wake kumpa mimba Rafiki yake mwingine....! Je nini kinafuataaaaa!
Tupeane ma hope kwa like za kutosha.. Coment zenye maushauri ili tuendelee na mchakamchaka. Wewe uanyesoma na ku coment au ku like unanifanya nijisikie unanijali..