Games

LATEST UPDATES

Tuesday, February 12, 2013

MANENO YA KUEPUKA WAKATI UNAMFUATA MSICHANA KUMTONGOZA.


MANENO YA KUEPUKA WAKATI UNAMFUATA MSICHANA KUMTONGOZA.

1. Nitakupa kila unachotaka. Hivi huwa mnajua makosa yanayozaa kshfa mnazowapa sasa wasichana kuwa wanapenda pesa chanzo ni nyinyi? Kama unamuahidi msichana utampa kila atakachotaka akija kukuambia ana shida ya laki tano kwanini umshangae na kumuona anapenda pesa? Inawezekana ikawa amekukubalia kutokana na hili.

2. Usimueleze ukweli juu ya idadi ya wasichana uliowahi kuwa nao hii husababisha kujifikiria mara mbili msichana aliyekupenda kweli huogopa kuingia katika mlolongo wa foleni ya wasichana na kuongeza idadi katika wasichana watakaopita kama wenzake. Msichana humuona mvulana wa aina hii kamahajatulia ama ni mtu wa kuchezea wasichana itakuwia vigumu kumshawishi

3. Usitumie pesa kama kigezo cha kumpata. Kuna wavulana ambao hutumia nguvu ya pesa kumlaghai msichana wakidhani kuwa wakifanya hivyo ndio watapendeka lakini hii si sawa kwa kuwa mwanamke anaweza akakuchukulia mtu wa kukuchuna hata kama alikuwa na nia ya kukupenda kweli.

4. Usimdanganye hali halisi yamaisha ya nyumbani kwenu usiogope ubovu wa nyumbani kwenu ikiwa ni mafukara wa hali ya juu usione aibu kumueleza ukweli kwa sababu atakapokukubali ukiwa umemdanganya kuwa nyumbani kwenu kuna gorofa halafu asilikute, msichana atakuona wewe ni muongo na huna lolote utakalomueleza akakuamini

5. Usimueleze msichana umempenda kwasababu yeye ni mzuri akitembea anakuvutia unaipenda sauti yake au akicheka unapenda sana kwa sababu akikuuliza je nisingekuwa hivyo ina maana usingenipenda je ungemjibu nini unalo? Sasa sikia wasichana wanapenda kupendwa kweli hawapendi kuchezewa hawapendi kudanganywa hivyo utakapomfuata kuwa makini na utakachomueleza mpaka akuelewe.

DJ
GUD AFTANUN

1. Nitakupa kila unachotaka. Hivi huwa mnajua makosa yanayozaa kshfa mnazowapa sasa wasichana kuwa wanapenda pesa chanzo ni nyinyi? Kama unamuahidi msichana utampa kila atakachotaka akija kukuambia ana shida ya laki tano kwanini umshangae na kumuona anapenda pesa? Inawezekana ikawa amekukubalia kutokana na hili.

2. Usimueleze ukweli juu ya idadi ya wasichana uliowahi kuwa nao hii husababisha kujifikiria mara mbili msichana aliyekupenda kweli huogopa kuingia katika mlolongo wa foleni ya wasichana na kuongeza idadi katika wasichana watakaopita kama wenzake. Msichana humuona mvulana wa aina hii kamahajatulia ama ni mtu wa kuchezea wasichana itakuwia vigumu kumshawishi

3. Usitumie pesa kama kigezo cha kumpata. Kuna wavulana ambao hutumia nguvu ya pesa kumlaghai msichana wakidhani kuwa wakifanya hivyo ndio watapendeka lakini hii si sawa kwa kuwa mwanamke anaweza akakuchukulia mtu wa kukuchuna hata kama alikuwa na nia ya kukupenda kweli.

4. Usimdanganye hali halisi yamaisha ya nyumbani kwenu usiogope ubovu wa nyumbani kwenu ikiwa ni mafukara wa hali ya juu usione aibu kumueleza ukweli kwa sababu atakapokukubali ukiwa umemdanganya kuwa nyumbani kwenu kuna gorofa halafu asilikute, msichana atakuona wewe ni muongo na huna lolote utakalomueleza akakuamini

5. Usimueleze msichana umempenda kwasababu yeye ni mzuri akitembea anakuvutia unaipenda sauti yake au akicheka unapenda sana kwa sababu akikuuliza je nisingekuwa hivyo ina maana usingenipenda je ungemjibu nini unalo? Sasa sikia wasichana wanapenda kupendwa kweli hawapendi kuchezewa hawapendi kudanganywa hivyo utakapomfuata kuwa makini na utakachomueleza mpaka akuelewe.

DJ
GUD AFTANUN
Share This :

Post a Comment

 

Top